Kwanini Wabunge na Madiwani wengi wa viti maalumu ama kuteuliwa huwa ni wanene?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wakuu, chunguzeni wabunge wa viti maalumu na wakuteuliwa,wengi huwa ni wanene (futa). Wembamba huwa wachache sana.

Hali kadhalika na madiwani wa viti maalumu,nao mifuta kweli yaani!

Tujadili
 
Wakuu, chunguzeni wabunge wa viti maalumu na wakuteuliwa,wengi huwa ni wanene (futa). Wembamba huwa wachache sana.

Hali kadhalika na madiwani wa viti maalumu,nao mifuta kweli yaani!

Tujadili
unataka kutueleza nini? hukuteuliwa kwakuwa wewe siyo mnene?
 
Wengi ukiwaangalia vizuri ni waropokaji tuu, wengi hutembelea ktk mada zilizopelekwa na wenzao alafu wanapenda kiki za pikipiki
 
Back
Top Bottom