tutamkumbukamagu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 317
- 270
wakisaahaulika wewe binafsi huna unachofaidiBashiru huyu huyu aliyeenda kumwambia Samia “magufuri amesema ujiuzuru hawezi kuendelea kufanya kazi na wewe” kwenye nafasi ya makamu wa rais ili yeye na genge lake (majaliwa, polepole na bashiru) wachukue nafasi za juu baada ya kusikia msukuma alikufa muda mrefu wakaendelea kutwambia hajafa ili wapindue meza!?!?
hawa hawafai wasahaulike tu na siasa zao za tamaa na ulafi wa madaraka.