Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,219
- 12,933
Kiitikadi chama cha CCM ni cha mlengo gani?Wote uliowataja waliidumbukiza ccm matatani
Mukama huyu ndo hakufanya lolote tushukuru mze kinana kuja kuitoa ccm shimoni ilikokua imeelekea
Dr Bashir -kuibadili ccm kua ya kikomunist fully Hilo limemmaliza kabisa ,kutoka kijana pendwa kwenye medani zasiasa na uhojaji Mambo Hadi kuonyesha PhD sio ishu Sana