Kwanini Wabobezi wa siasa za CCM na wasomi wa falsafa Dkt. Bashiru Ally na Dkt. Wilson Mukama wamesahaulika haraka sana?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,598
141,414
Hawa wawili Dr Bashiru Ally na Dr Wilson Mukama ndio makatibu wakuu wa CCM waliojaliwa PhD.

Wengine akina Kawawa, Kolimba, Gama, Kinana, Makamba nk...nk ni wasomi wa kawaida siyo wabobezi labda Gama ndio alikuwa na Udaktari wa zamani.

Najiuliza tu kwanini Bashiru na Wilson wamesahaulika kwa haraka sana tofauti na mzee Makamba au Kinana waliowahi kuitwa na kamati ya maadili ya Lumumba?!

Dominica Njema!
 
Hawa wawili Dr Bashiru Ally na Dr Wilson Mukama ndio makatibu wakuu wa CCM waliojaliwa PhD.

Wengine akina Kawawa, Kolimba, Gama, Kinana, Makamba nk...nk ni wasomi wa kawaida siyo wabobezi labda Gama ndio alikuwa na Udaktari wa zamani.

Najiuliza tu kwanini Bashiru na Wilson wamesahaulika kwa haraka sana tofauti na mzee Makamba au Kinana waliowahi kuitwa na kamati ya maadili ya Lumumba?!

Dominica Njema!
Ndiyo Dr. Bashiru alikuwa PhD holder lakini amefanya ccm kiasi Cha kumfanya watu kumkumbuka? Aliharibu chama Sana Sana kuimba mapambio, kuharibu uchaguzi na mengine mengi! Elimu si tija ya kumfanya mtu kuwa kiongozi mzuri na bora!
 
Hawa wawili Dr Bashiru Ally na Dr Wilson Mukama ndio makatibu wakuu wa CCM waliojaliwa PhD.

Wengine akina Kawawa, Kolimba, Gama, Kinana, Makamba nk...nk ni wasomi wa kawaida siyo wabobezi labda Gama ndio alikuwa na Udaktari wa zamani.

Najiuliza tu kwanini Bashiru na Wilson wamesahaulika kwa haraka sana tofauti na mzee Makamba au Kinana waliowahi kuitwa na kamati ya maadili ya Lumumba?!

Dominica Njema!
Analysis yako siyo sahihi.
1. Kinana amesahaulika kidogo, anasikia kwa kuwa na vi scandal vya meno ya ndovu, kukwaruzana na Magufuli...... hasa hi ilimfanya awe live sana.
2. Mukama alikuwa kama sanamu, sijui alifanya nini duniani ya CCM
3. Makamba ni maneno maneno mengi.... too talkative kiasi kwamba he raises the attention of those interested in politics and the mass at large. Pli uwepo wa january serikalini unamfanya akumbukwe sana.
 
Ndiyo Dr. Bashiru alikuwa PhD holder lakini amefanya ccm kiasi Cha kumfanya watu kumkumbuka? Aliharibu chama Sana Sana kuimba mapambio, kuharibu uchaguzi na mengine mengi! Elimu si tija ya kumfanya mtu kuwa kiongozi mzuri na bora!

unatiwa na kijiti kirefu

bashiru kaingia ccm ikiwa inaingiza 2bn kwa mwaka


leo inaingiza 30bn kwa mwaka kama initiative zake

hilo hauwezi kuambiwa, maana mnapenda wanachekesha na kuongea sana jukwaani
 
Siasa za bongo hazihitahi sana PhD bali ujanja ujanja ndivyo sivyo kibao....bla bla maneno meeengi na urongo pia....ukiwa msomi umenyooka hutaweza kwenda nazo....pia uwe umekulia humo kujua fitna zoote hizo
Kwani Bashiru siyo muongo muongo ?
 
Hawa wawili Dr Bashiru Ally na Dr Wilson Mukama ndio makatibu wakuu wa CCM waliojaliwa PhD.

Wengine akina Kawawa, Kolimba, Gama, Kinana, Makamba nk...nk ni wasomi wa kawaida siyo wabobezi labda Gama ndio alikuwa na Udaktari wa zamani.

Najiuliza tu kwanini Bashiru na Wilson wamesahaulika kwa haraka sana tofauti na mzee Makamba au Kinana waliowahi kuitwa na kamati ya maadili ya Lumumba?!

Dominica Njema!
Dunia inaendakasi sana. nilishasahau kuwa CCM ilishawahi kuwa na katibu mkuu aliyeitwa Wilson Mukama
 
Hawa wawili Dr Bashiru Ally na Dr Wilson Mukama ndio makatibu wakuu wa CCM waliojaliwa PhD.

Wengine akina Kawawa, Kolimba, Gama, Kinana, Makamba nk...nk ni wasomi wa kawaida siyo wabobezi labda Gama ndio alikuwa na Udaktari wa zamani.

Najiuliza tu kwanini Bashiru na Wilson wamesahaulika kwa haraka sana tofauti na mzee Makamba au Kinana waliowahi kuitwa na kamati ya maadili ya Lumumba?!

Dominica Njema!
Hawajamfikia jpm kusaulika,mpka nyerere dei imegeuzwa kua jpm dei na bado anasaulika tu
 
Siasa za bongo hazihitahi sana PhD bali ujanja ujanja ndivyo sivyo kibao....bla bla maneno meeengi na urongo pia....ukiwa msomi umenyooka hutaweza kwenda nazo....pia uwe umekulia humo kujua fitna zoote hizo
...Siasa...Za CCM Mkuu tu.
 
Hawa wawili Dr Bashiru Ally na Dr Wilson Mukama ndio makatibu wakuu wa CCM waliojaliwa PhD.

Wengine akina Kawawa, Kolimba, Gama, Kinana, Makamba nk...nk ni wasomi wa kawaida siyo wabobezi labda Gama ndio alikuwa na Udaktari wa zamani.

Najiuliza tu kwanini Bashiru na Wilson wamesahaulika kwa haraka sana tofauti na mzee Makamba au Kinana waliowahi kuitwa na kamati ya maadili ya Lumumba?!

Dominica Njema!
Mungu wao kafa, badala ya kumtegemea Mungu wa kweli wao walimtegemea mwanadamu
 
Wote uliowataja waliidumbukiza ccm matatani

Mukama huyu ndo hakufanya lolote tushukuru mze kinana kuja kuitoa ccm shimoni ilikokua imeelekea

Dr Bashir -kuibadili ccm kua ya kikomunist fully Hilo limemmaliza kabisa ,kutoka kijana pendwa kwenye medani zasiasa na uhojaji Mambo Hadi kuonyesha PhD sio ishu Sana
 
Hawa wawili Dr Bashiru Ally na Dr Wilson Mukama ndio makatibu wakuu wa CCM waliojaliwa PhD.

Wengine akina Kawawa, Kolimba, Gama, Kinana, Makamba nk...nk ni wasomi wa kawaida siyo wabobezi labda Gama ndio alikuwa na Udaktari wa zamani.

Najiuliza tu kwanini Bashiru na Wilson wamesahaulika kwa haraka sana tofauti na mzee Makamba au Kinana waliowahi kuitwa na kamati ya maadili ya Lumumba?!

Dominica Njema!
Hawana akili hawa, walifikiri siasa ni mchezo.
 
Wote uliowataja waliidumbukiza ccm matatani

Mukama huyu ndo hakufanya lolote tushukuru mze kinana kuja kuitoa ccm shimoni ilikokua imeelekea

Dr Bashir -kuibadili ccm kua ya kikomunist fully Hilo limemmaliza kabisa ,kutoka kijana pendwa kwenye medani zasiasa na uhojaji Mambo Hadi kuonyesha PhD sio ishu Sana
Ukitaka kujua rangi halisi ya binadamu mpe utajiri haraka au madaraka (katika sayansi tungeita litmus test). Akibaki na utu ule ule wa awali basi huyo ndiye binadamu wa kupigiwa mfano. Wapo wachache sana duniani wa kupigiwa mfano.
 
Back
Top Bottom