habari wadau..
najua wengi ni neno geni.. nilikuwa nafanya kazi ubalozi mmoja nyeti nilikuwa nashangaa sana wazungu wana career break... mtu anaacha kazi kabisa anapumzika hata 2 years bila kutafuta kazi yeyote.. anakwambia ana have fun tu.. kusafiri na kufanya hobbie zake tu.. unakuta accountant.. anapumzika uhasibu hata miaka miwili anafanya hobbie yake mfano anakuwa mpiga picha tu
kisha baada ya 2 year anarudi sokoni anasaka ajira mpya na anaendelea na career yake.. anakwambia anaji rejuvinate ki career
mfano hai.. ceo wa voda aliemaliza muda wake amejipa career break
https://tz.linkedin.com/in/ian-ferrao-65b8301
je ni njaa au utamaduni unatufanya waafrica tufanye kazi miaka 30 au 40 mfululizo bila kupumzika pumzika ....
najua wengi ni neno geni.. nilikuwa nafanya kazi ubalozi mmoja nyeti nilikuwa nashangaa sana wazungu wana career break... mtu anaacha kazi kabisa anapumzika hata 2 years bila kutafuta kazi yeyote.. anakwambia ana have fun tu.. kusafiri na kufanya hobbie zake tu.. unakuta accountant.. anapumzika uhasibu hata miaka miwili anafanya hobbie yake mfano anakuwa mpiga picha tu
kisha baada ya 2 year anarudi sokoni anasaka ajira mpya na anaendelea na career yake.. anakwambia anaji rejuvinate ki career
mfano hai.. ceo wa voda aliemaliza muda wake amejipa career break
https://tz.linkedin.com/in/ian-ferrao-65b8301
je ni njaa au utamaduni unatufanya waafrica tufanye kazi miaka 30 au 40 mfululizo bila kupumzika pumzika ....