Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Kuifanya afrika isonge mbele haina maana ndio tuanze kuwabagua wazungu. Hapana mkuu kwa maana kwa kufanya hivyo tutakuwa hatuna tofauti na wao walivyotufanya watumwa.Waafrika kitu wanachikosa ni kua na roho mbaya. Kwa muafrika kila mtu ni rafiki.