Kwanini Waafrika tu ndio hupaa kwa ungo na si wazungu?

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
3,907
6,700
Taasisi ya kiroho ilioanzishwa na waafrica ni taasisi yenye kuongozwa na kiumbe kimoja tu cha kiroho (mizimu). Kikawaida mizimu ndiyo yenye elimu ya dawa duniani,

Kutokana na zile vita za kiroho za kigeni. Mizimu ilianzisha taasisi ya kiroho ili waokoe mataifa yao(watu).

Kila koo ilitengeneza hiyo system na kwakuwa taifa uokoa taifa hivyo mizimu ikachukua koo zao na kuwaokoa roho zao kwa kuzipa madawa ya nguvu ili roho zao zisitawaliwe. Na hapo taasisi ikakamilika na kuanza kuunganisha wanakoo katika taasisi hizo na hapo ndipo ulipoanza uchawi.

JINSI YA KUINGIA UCHAWINI

Kupitia maradhi ya kuzaliwa ya Upatanisho ambao toka kuzaliwa hatuna Upatanisho wa roho na nyama. Hivyo kupitia hili roho huishi kivyake kwenye asili yako na mwili uishi kivyake. Sasa kutokana roho uishi kivyake taasisi hii ya kichawi itaenda kuiteka nafsi yako kwakuwa nafsi bila upatano huwa haina nguvu,basi na hapo itaanza kufundishwa ibada na utendaji wa taasisi hiyo. Hivyo utapitia mafunzo yote kupitia roho na mwisho baada ya kuhitimu utafatwa live ukubali na ule kiapo kwani mwili ndo muamuzi roho ni mtumishi wa mwili tu. Na ukikubali ndo unakula kiapo(Upatanisho). Na hapo utakuwa mwanachama. Asilimia tisini wa taasisi hizi utumia nguvu za KizA kwakuwa taasisi zao ni nyoka.

Ibada zao ni mbili ile ibada ya 3. Na ibada ya 4.

Ibada ya 3.

Mchawi kutoka saa 1usiku mpaka saa 6. Anatakiwa awe kwenye taasisi kwa ajili ya kumuabudu nyoka wao na kumtumikia mfalme wao, hivyo mda uo lazima alale kwa manuizi ya kwenda uko. Na akilala atatoka na kwenda uko watafanya ibada za kumtukuza na kumtumikia kisha akimaliza wanafanya majukumu yao. Ikifika saa 7 inapigwa kengele.

Wanaenda kwenye kikao na uo ndo mda wa kuongea shida zao kwa Mungu wao nyoka. Hapa ndo utasikia mkuu Mimi kuna shoga yangu analinga kisa anaela nataka afilisike, mim hivi Mimi vile basi hapo kila mtu anapewa nguvu na wafuasi kisha ndo wanaenda kukamilisha maombi. Kiutendaji.

Baada ya taasisi kukua wakaanza kugombana na hatimaye kupingana na kutoka taasisi Tatu, mganga, mwanga na mchawi. Tofauti ya mwanga ni kwamba Hana kundi yupo single.

Sasa ukiangalia vizuri unagundua mfumo wa uombaji ni ule ule isipokuwa wao wanatumia kumuomba Mungu nyoka na sisi tunautumia kumuomba muumba.

Kinachofanya wasiombe hela ni kwamba Mungu nyoka Hana elimu ya hela, elimu ya hela ni ya majini wakihindi. Hivyo ili taasisi iwe ........

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom