Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,260
- 33,857
Sehemu nyingi duniani kunapotekea mauaji ya watu iwe kwa ajali, vita, ama majanga ya kiasili, vyombo vya habari huwa ni watu wanaokwenda maeneo hayo kwa ajili ya kuhabarisha umma ni nini kinaendelea.
Tangu mauji ya Kibiti na maeneo yanayozunguka huko yaanze, kama taifa hakujakuwa na chombo chochote cha habari ambacho kimezitafuta habari za mauaji ama chanzo chake kwa kina na kuzileta kwetu wananchi.
Habari za Al Qaeda, Al shabab, vita vya Iraq, mambo ya IRA huko Ireland Kaskazini yote hayo dunia huyajua kupitia vyombo vya habari. Ni kwa nini vyombo vyetu vya habari mpaka sasa havijafanya juhudi za kutuletea habari za kina za kiuchunguzi kuhusu nini hasa kinachoendelea Kibiti?
Tangu mauji ya Kibiti na maeneo yanayozunguka huko yaanze, kama taifa hakujakuwa na chombo chochote cha habari ambacho kimezitafuta habari za mauaji ama chanzo chake kwa kina na kuzileta kwetu wananchi.
Habari za Al Qaeda, Al shabab, vita vya Iraq, mambo ya IRA huko Ireland Kaskazini yote hayo dunia huyajua kupitia vyombo vya habari. Ni kwa nini vyombo vyetu vya habari mpaka sasa havijafanya juhudi za kutuletea habari za kina za kiuchunguzi kuhusu nini hasa kinachoendelea Kibiti?