daza steven
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 359
- 357
Juzi tuliambiwa tena na viongozi wakubwa wa Chadema kuwa CCM ikinusulika katika uchaguzi wa Octoba 2015 watajiudhuru siasa nasasa tunaona kila dalili ambazo zilizovikuta vyama kama CUF, NCCR MAGEUZI, TLP zinainyemelea CDM.
1995 viongozi wa NCCR MAGEUZI kama Mbele Malando na Lamwai waliwai kusema "ningumu kwa CCM kunusurika katika uchaguzi huu. Muda si muda kikawa chama doro.
Na ukiangalia hawa viongozi wetu wa upinzani wanafanana sana katika namna za uendeshaji wa vyama, Mfano hawa wahishimiwa wanafanana kabisa kama Prof. Haruna Lipumba, John Momose Cheyo, Zito Kabwe, Freemani Mboe, James Mbatia, Hashimu Lungwe, Agustino Lyatonga na Maalim seif.
Tuchangie hili tupate upinzani makini.
1995 viongozi wa NCCR MAGEUZI kama Mbele Malando na Lamwai waliwai kusema "ningumu kwa CCM kunusurika katika uchaguzi huu. Muda si muda kikawa chama doro.
Na ukiangalia hawa viongozi wetu wa upinzani wanafanana sana katika namna za uendeshaji wa vyama, Mfano hawa wahishimiwa wanafanana kabisa kama Prof. Haruna Lipumba, John Momose Cheyo, Zito Kabwe, Freemani Mboe, James Mbatia, Hashimu Lungwe, Agustino Lyatonga na Maalim seif.
Tuchangie hili tupate upinzani makini.