Kwanini vodacom wana bei sana kwenye vifurushi vyao?

nyanga kante

Member
Jan 7, 2017
36
34
Kwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi walio nao au imekaaje hii. Watalam wa mambo nawaomba mnisaidie
 
Kwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi walio nao au imekaaje hii. Watalam wa mambo nawaomba mnisaidie
Wapandisha bei ovyo ovyo sana
 
Jibu ni kwamba maisha yanabadilika..Gharama kila mahali hata dala dala tulianza tumia nauli sh.30
 
Voda ndo baba lao nadhani technologia yao iko imara zaidi ndo mana mara nyingi voda ktk huduma zao hawazingui text, call, internet vyote vipo stable ukicompare na wengine
 
Voda naitumia kwa masuala ya kifedha pekee lakini kwa mambo ya vifurushi siitumii kabisa, hivi kweli kabisa 1000, mb 200 si masiala haya wakati nikijiunga na ofa ya halopesa bando napata mb 500 kwa sh. 500.
 
Kwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi walio nao au imekaaje hii. Watalam wa mambo nawaomba mnisaidie
Wewe kwanini ulinunua line yao huku ukijua ni ghali?
 
Kwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi walio nao au imekaaje hii. Watalam wa mambo nawaomba mnisaidie
wana huduma nzuri sio wez kama tigo yaan ata uweke salio bla kujiunga likakaa siku nzma basi utalikuta mlad ujawasha data wala ujapiga cm ila sio kwa tigo..kifupi ndo mtandao unaoongoza TZ adi vijijin.
 
Ifanye laini ya voda kama bank.


Ifanye laini ya Tigo/halotel kama suluhu ya kuingia internet
 
Aise me naona huyu MD mpya WA VODA ni mbovu sana. Tangu aingie yeye ndo vifurushi tunaibiwa balaa, mimi personally nimeibiwa vifurushi nimelalamika wee hamna msaaada. Uozo starts from the top, mbona mwaka jana haikua hivi? Au ni mimi mwenyewe? Siku ya leo zimeenda 10GB ndani ya lisaaa sijui zimeishaje...nimeenda mpaka vodashop yani hamna msaada, yani siku nikikaa vizuri hii kesi naipeleka mahakamani nina hamu za million 60 za kumfungulia mamaa duka la nguo maana imekuwa kero sana..
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Back
Top Bottom