nyanga kante
Member
- Jan 7, 2017
- 36
- 34
Kwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi walio nao au imekaaje hii. Watalam wa mambo nawaomba mnisaidie