.Kichwa cha habari kinahusika.
JKT na Magereza wana viwanda vya ushonaji.
Nilitegemea viwanda hivyo viwe ktk operesheni maalumu ya kutengeneza barakoa na kuzigawa kwa makundi yaliyo ktk hatari ya kuambukizwa.
Kwenye nchi za wenzetu viwanda mbalimbali vimebadili bidhaa wanazozalisha ili kukabiliana na tatizo la covid19.
Covid19 ni tishio kwa USALAMA wa nchi na UCHUMI wetu.
JKT na Magereza wana viwanda vya ushonaji.
Nilitegemea viwanda hivyo viwe ktk operesheni maalumu ya kutengeneza barakoa na kuzigawa kwa makundi yaliyo ktk hatari ya kuambukizwa.
Kwenye nchi za wenzetu viwanda mbalimbali vimebadili bidhaa wanazozalisha ili kukabiliana na tatizo la covid19.
Covid19 ni tishio kwa USALAMA wa nchi na UCHUMI wetu.