IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Wadau nataka kujua ili swala kwanini vitanda vinatengenezwa kwa urefu wa 6f unabadilika upana tu.,na hata upana umezidi ft6.
Kwani haiwezekana kutengeneza 10/10 ?
Aaaaah Aaaaah nawasubiri wale mabingwa wa kukosoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani haiwezekana kutengeneza 10/10 ?
Aaaaah Aaaaah nawasubiri wale mabingwa wa kukosoa.
Sent using Jamii Forums mobile app