Kwanini vita vya Ethiopia dhidi ya TPLF vimekuwa mwiba mchungu

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
8,130
8,330
Hivi karibuni Waziri Mkuu wa Ethiopia amewaomba wananchi waungane na wale wenye uwezo wajiunge na majeshi ya Ethiopia ili kupambana na waasi wa TPLF.

Hii imetokea baada ya kuonekana kuzidiwa kwa jeshi la Ethiopia kwenye mapambano dhidi ya wahasimu wao wa TPLF. Vita hii mwanzoni ilionekaba nyepesi kwani iliwachukua Ethiopia siku chache sana kuteka uliokuwa mji mkuu wa Tigray.

Kwa upande mwingine jamii ya Oromo wametangaza wazi kwamba wanawaunga mkono wamajeshi wa TPLF dhidi ya Ethiopia.

Ni nini hasa kimebadili uelekeo wa vita hii, kwani ethiopia wenye Jeshi kubwa na silaha za kisasa wanaonekana kuzidiwa na wanamgambo wachache mpaka kupelekea wanajeshi wao 7000 kutekwa.
 
Hao waasi huenda kuna msaada wanaupata sehemu, jeuri yao si bure. Jeshi la Ethiopia ni kubwa kulinganisha na kikikundi hicho
 
Mpango wa mabeberu kuwazuia wasimalizie kujenga bwawa lao la kufua umeme kubwa kabisa Afrika nzima
 
Hivi karibuni Waziri Mkuu wa Ethiopia amewaomba wananchi waungane na wale wenye uwezo wajiunge na majeshi ya Ethiopia ili kupambana na waasi wa TPLF.

Hii imetokea baada ya kuonekana kuzidiwa kwa jeshi la Ethiopia kwenye mapambano dhidi ya wahasimu wao wa TPLF. Vita hii mwanzoni ilionekaba nyepesi kwani iliwachukua Ethiopia siku chache sana kuteka uliokuwa mji mkuu wa Tigray.

Kwa upande mwingine jamii ya Oromo wametangaza wazi kwamba wanawaunga mkono wamajeshi wa TPLF dhidi ya Ethiopia.

Ni nini hasa kimebadili uelekeo wa vita hii, kwani ethiopia wenye Jeshi kubwa na silaha za kisasa wanaonekana kuzidiwa na wanamgambo wachache mpaka kupelekea wanajeshi wao 7000 kutekwa.
Hiyo ni tactic ya Egypt kuwadhoofisha Ethiopia na chanzo kikuu ni bwawa wanalojenga kwenye mto nile, na hizo mbinu hata mtandaoni zilivuja
 
Ethiopia inajenga bwawa kubwa la umeme kwa kutumia maji ya mto Nile.nchi za Sudan na misri zinapinga ujenz wake wanahis kutakua na upungufu Wa maji kwenye nchi hiz.kwa hio machafuko haya kule Ethiopia ni mkono Wa hiz nchi.na tukumbuke Egypt ndio nchi yenye jeshi kubwa kuliko nchi zote afrika
 
Hivyo vikosi vya Tigray vina sapotiwa na Misri pamoja na nchi za magharibi zisizopenda maendeleo ya Afrika, Ethiopia wanajenga bwawa kubwa zaidi Afrika.
 
Ethiopia inajenga bwawa kubwa la umeme kwa kutumia maji ya mto Nile.nchi za Sudan na misri zinapinga ujenz wake wanahis kutakua na upungufu Wa maji kwenye nchi hiz.kwa hio machafuko haya kule Ethiopia ni mkono Wa hiz nchi.na tukumbuke Egypt ndio nchi yenye jeshi kubwa kuliko nchi zote afrikana Sudan ,Egypt a
EGYPT na SUDAN majority ni dini gani?
 
AU imenyamaza tu, kule msumbiji vikosi vya SADC ndio vimeanza operesheni ya kuwafurusha wahuni wanaosumbua nchi hiyo. Hata Ethiopia jeshi la AU lingeundwa kukomesha wahuni wa tigray na wanaowasaidia wangeufyata mkia
 
Back
Top Bottom