Huwa nashangaa Sana muislamu kumshabikia mtu anaewatesa na kuwanyanyasa Sana waislamu, musiba angekuwa ni muislamu siku nyingi Sana angeshaozea ndani, lakini wengine wakitoa maoni yao jela zinawahusu.
Kwann mnaendekeza Sana njaa ya vitu vidogovidogo hata kwa kuzidhalilisha dini zenu?
Kwann mnaendekeza Sana njaa ya vitu vidogovidogo hata kwa kuzidhalilisha dini zenu?