Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
WanaCCM wa ilala hawaelewi pesa za Hayati Hamza zimetumiwaje na chama.ULISIKIA MTU ANALALAMIKA ZIMELIWA KAMA ZA OFISI ZA SABODO?
WanaCCM wa ilala hawaelewi pesa za Hayati Hamza zimetumiwaje na chama.ULISIKIA MTU ANALALAMIKA ZIMELIWA KAMA ZA OFISI ZA SABODO?
Alikuwa hana mamlaka ya kutoa pesa.2010 - Namwona Willbrod Peter Slaa akishuhudia kwa pembeniiii
Kwani Slaa anasemaje?
Umenena ukweli.HAPANA HAPANA HAPANA TUNA HAKI YA KUJUWA MBOWE ALIZIPELEKA WAPI HIZI HELA TUKIWAAMBIA MBOWE MPIGAJI MNAMTETEA KAMA MNAVYOAMINI SASA HIVI HAWEZI KUWA GAIDI ALIWEZAJE KULA HELA YOTE HIYO LAKINI NA NYIE CHADEMA KAMA MMELOGWA NA MBOWE KWELI HAMUWEZI HOJI HIZO HELA ZIKO WAPI?
Hatujaona kiwanja wala msingi uliochimbwa kujenga ofisi.ULISIKIA MTU ANALALAMIKA ZIMELIWA KAMA ZA OFISI ZA SABODO?
MBOWE NI MWIZI MKUBWA SHENZI ZAKEHatujaona kiwanja wala msingi uliochimbwa kujenga ofisi.
Tulia kamanda tuulize maswali kwa manufaa ya chama chetu.WanaCCM wa ilala hawaelewi pesa za Hayati Hamza zimetumiwaje na chama.
200m za Hayati Hamza ziko wapiHapana hapana hapana tuna haki ya kujuwa mbowe alizipeleka wapi hizi hela tukiwaambia Mbowe mpigaji mnamtetea kama mnavyoamini sasa hivi hawezi kuwa gaidi aliwezaje kula hela yote hiyo lakini na nyie Chadema kama mmelogwa na mbowe kweli hamuwezi hoji hizo hela ziko wapi?
🖕Mleta mada hizo pesa zilitumika kwenye harusi yako,unakumbuka ulienda honey moon Pemba na ulikaa kwenye 5 star hotel kwa wiki 2 na mumeo unadhani mumeo alipata wapi pesa ya kuspend kiasi kile?
Wewe na mumeo ndio mmefanya CHADEMA wasijenge ofisi yao.
Ngoja kesi iishe tufungue ya wizi. James Mbowe tuambie pesa baba kaweka wapi?MBOWE NI MWIZI MKUBWA SHENZI ZAKE
Kumbe sasa tungekuwa na ofisi hata ya vyumba vinne iliyokamilika kuliko kupanga. Nani alitafuna hizi pesa?
Kama hazijatafunwa ziko wapi?
View attachment 1916572
View attachment 1916573
Cc SAGAI GALGANO Yoda, Kinyungu Vessel