OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,624
- 9,167
Hivi huko gerezani au mahabusu kuna V.I.P?
Ili mtu aweze kusoma kitabu ni lazima akae sehemu ambayo ni comfortable,
Kwanini viongozi wetu wanapopata majanga hupenda kubeba vitabu mfano wanapoelekea mahakamani au kwenye kamati ya maadili ,
Mwenye majibu atusaidie
Ili mtu aweze kusoma kitabu ni lazima akae sehemu ambayo ni comfortable,
Kwanini viongozi wetu wanapopata majanga hupenda kubeba vitabu mfano wanapoelekea mahakamani au kwenye kamati ya maadili ,
Mwenye majibu atusaidie