Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,144
Wanaume wakizungumza ya huku kiumeni basi maneno yako ya kwenye kanga peleka jikoni ukakune Nazi!Kama baadhi ya watu kung'ang'ania uenyeviti wa vyama, si bure kuna namna. Are you happy, now !?
Wanaume wakizungumza ya huku kiumeni basi maneno yako ya kwenye kanga peleka jikoni ukakune Nazi!Kama baadhi ya watu kung'ang'ania uenyeviti wa vyama, si bure kuna namna. Are you happy, now !?
Wizarani. Kuna mhandisi mmoja mwaka ule 2015 alivyoona watu wana kampeni kwa nguvu kubwa alicheka tuu na kusema "hawamjui huyu!"Ya kule Wizarani au ya alipo sasa Mkuu?
Nimejikuta nacheka jinsi Baba Swalehe ulivyogeuka na kuwa na uso wa mbuzi kama umetafuna limao!siku nmekutana na magu Kwenye project flani sikumtetemekea hata kidogo , yaani no kumsifia sifia ilikua straight to the points on topic per see
Akabaki ananishangaa !
Mi siwezi ogopa mwanadamu mwenzangu aisee
Njoo pale bakongo banasema ngufu ya mamba kumayi mkulu anaopwa na kuwaogopesha wasiomjua lakini wanamjua madhaifu yake hawana hata pressure nae.uko sahihi mkuu.Ukishajua madhaifu ya mtu na kuzicover wasiwasi wa nini??
Mimi ni yule ambaye huwa nasimama nyuma ya jiwe mara zoteKwani alikabidhiwa lini Mkuu? Na je ulikuwepo katika hayo Makabidhiano yao labda?
Niamini mimiNgoja Kwanza nilithibitishe hili kutoka kwa Vyanzo vyangu ' reliable ' kabisa Mkuu ila kwa sasa siwezi Kuliamini na nakuachia mwenyewe.
Mkuu nlikataa huo ujinga anyway najua tutakutana tena bado ntaonyesha ukauzuNimejikuta nacheka jinsi Baba Swalehe ulivyogeuka na kuwa na uso wa mbuzi kama umetafuna limao!
Jamaa kashangaa huyu vipi hanisifii?
Usiichezee tunguli 900Nimekuwa nikipenda mno Kuwafuatilia Viongozi mbalimbali hasa wakiwa wanazungumza na hadhira mbele ya Mheshimiwa Rais Magufuli ambapo wengi wao huwa wanakuwa hawajiamini, waoga waoga na hata wapo ambao wanatetemeka sana ila kwa Injinia Mfugale imekuwa ni tofauti kabisa ambapo huwa anajiamini, haogopi na hata uwasilishaji wake umekaa kiuhakika zaidi.
Kwanini inakuwa hivi?
Malaika wanisimamie Mungu Anisamehe mapema. Kuna saa nahisi cleverbright ni Makongoro Nyerere...
Mfugale Hoyee!
Mimi ni yule ambaye huwa nasimama nyuma ya jiwe mara zote
15% cash na 85% mkopo ambao unalipwa na kodi zetu watanzania. Hivyo basi mradi umefadhili kwa 100% na watz.Samahani..limetolewa na watz kwa 100%..then hyo 85%imetoka wap tena au sielew hesabu za asilimia mm
Na kuonyesha ambavyo huyo anayeogopwa anavyo muogopa na kumtetemekea huyo Mfugale mpaka akampa daraja la Tazara jina lake wakati bado mtumishi wa umma kama kujikomba.
Kwa nini anajikomba na kumuigopa Mfugale? Nakumbuka walikuwa wote kwenye haya mabarabara ya chini ya kiwango na hata Kijazi naye alikuwa huko.
Kuna siri kubwa inafichwa. Hasa huko Tanroad
Anaongea jambo kwa weredi siku zote anayeongea kweli anabaki huru
Hiyo haitoshi...!!!
Jiwe ana kampuni mbili za uhandisi na ndio zinazoshika tenda nyingi sana kwasasa za ujenzi wa barabara na majengo, hao kina Mfugale na Kijazi wote wawili ndio wanamfanyia michongo yote ya kupiga pesa.
Mwanzoni alikuwa anakula na Ramadhan Dau, watu wakamstukia akampa jamaa ubalozi apotee kwanza nchini.
Hahaha yes anasafiria Nyota Mkuu....Signature Imeshiba Sana.Ha ha ha ha ha ha ha....Mkuu umetisha sana. Kwahiyo Injinia Mfugale anasafiria Nyota ya Maneno yangu pendwa yaliyopo katika ' Signature ' yangu?
Huwa ana maoni mazuri tuu na mimi moja kwa moja nikaona ni vema nimtaje katika uzi huu ili alete maoni yake ambayo yanaweza basi kukupa majibu mujarabu kumhusu Mfugale. Pia nisiwe mchoyo wa fadhila kwa kutokumualika An Eagle naye aje humu kwani combination ya huu utatu utatuletea majibu mazuri.Kwani huu Uzi unamzungumzia huyo sijui cleveright wako ameuchangia kokote pale? Na kwanini unamjadili ndani ya Uzi wangu Mimi GENTAMYCINE?
Hongera kwa kujionyesha wewe ni nani. Lakini pia pole sana kwa kuguswa.Wanaume wakizungumza ya huku kiumeni basi maneno yako ya kwenye kanga peleka jikoni ukakune Nazi!
Sasa utamwogopaje mtu ambae mlikuwa mnapiga wote madiliKwanini inakuwa hivi?
Mwenye kombati za jeshiYule Macho Kusinya sinya, Kiwi na Kusinzia hovyo au?
Huwa ana maoni mazuri tuu na mimi moja kwa moja nikaona ni vema nimtaje katika uzi huu ili alete maoni yake ambayo yanaweza basi kukupa majibu mujarabu kumhusu Mfugale. Pia nisiwe mchoyo wa fadhila kwa kutokumualika An Eagle naye aje humu kwani combination ya huu utatu utatuletea majibu mazuri.
Namaanisha utatu wa members makini kabisa humu GENTAMYCINE , cleverbright na An Eagle.