Nibozali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 572
- 1,055
Je, inatosha kusema kuwa Tanzania hasa ndani ya ccm tuna wazalendo Wa kweli, au kwa kuwa wako kwenye system ndiyo maana wanajifanya kuhubiri suala LA uzalendo kinafiki?
Kwa nini wengi was wakitolewa kwenye system wanabadilika na kuwa sawa na wale ambao inaaminika siyo wazalendo mfano wapinzani?
Tunaye Nape. Kabla hajatoka kwenye system alikuwa ni miongoni mwa watu ambao waliona wapinzani kama watu ambao siyo wazalendo ila Mara tu alipotolewa sasa hivi na yeye kaunganishwa kwenye kundi hilo kwani ameanza kuihoji serikali.
Sababu ya kwanza ya mtu kuonekana siyo mzalendo ni pamoja na Kuikosoa Serikali
Pray for Lissu
Nibozali Wa Lumumbani
Kwa nini wengi was wakitolewa kwenye system wanabadilika na kuwa sawa na wale ambao inaaminika siyo wazalendo mfano wapinzani?
Tunaye Nape. Kabla hajatoka kwenye system alikuwa ni miongoni mwa watu ambao waliona wapinzani kama watu ambao siyo wazalendo ila Mara tu alipotolewa sasa hivi na yeye kaunganishwa kwenye kundi hilo kwani ameanza kuihoji serikali.
Sababu ya kwanza ya mtu kuonekana siyo mzalendo ni pamoja na Kuikosoa Serikali
Pray for Lissu
Nibozali Wa Lumumbani