The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Mkuu huyu jamaa hana hoja,ndo maana watu hawamjibu kistarabu kama ulivyomjibu wewe. Nina uhakika hata haya majibu yako hatayaelewa.Watanzania ndo maana tunafeli hata mitihani
Mwenye uzi anapaswa kupingwa kwa Facts siyo matusi
Anyway Urais ni zaidi ya alivyovitaja hapo
1.Tunataka uhuru wa kujieleza na kuongea
2.Tunataka amani itamalaki hatutaki watu kupotea kwa kutekwa
3.Elimu bure nakubaliana na wewe. Ila ni Elimu Mbovu sana, mitaala aiendani na maisha halisi ambayo Mtanzania anatakiwa kuyaishi baada ya shule
4.Makadirio mabaya ya ushuru na kuwaumiza wafanya biashara,
5.Utumbuaji majipu pengine bila kufuata utaratibu,
6.Haki za Raia ziko wapi
7.Demokrasia iko wapi
8.Upendeleo ndani ya Viongozi wa Serikali,
9.Mikopo ya Elimu ya Juu umeendelea kuwa wimbo
10.Uchumi umeyumba bwana
Dah ni Mengi sana