johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,872
Kwa sasa imekuwa ni vigumu sana kuwaona na hata kuwasikia viongozi wetu wakuu wa upinzani katika matukio muhimu.
Kwa mfano katika shughuli muhimu kama msiba wa balozi Kijazi au katika tukio la kuapishwa Katibu mkuu kiongozi mpya balozi Bashiru walipaswa kuwepo lakini hawajaonekana.
Ni Prof Lipumba pekee ndiye amewahi kuonekana kwenye sherehe za siku ya sheria lakini Mbatia, Zitto Kabwe, mzee Cheyo na Mbowe ni kitambo sasa hawaonekani.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa mfano katika shughuli muhimu kama msiba wa balozi Kijazi au katika tukio la kuapishwa Katibu mkuu kiongozi mpya balozi Bashiru walipaswa kuwepo lakini hawajaonekana.
Ni Prof Lipumba pekee ndiye amewahi kuonekana kwenye sherehe za siku ya sheria lakini Mbatia, Zitto Kabwe, mzee Cheyo na Mbowe ni kitambo sasa hawaonekani.
Maendeleo hayana vyama!