IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,216
- 1,906
Suala la kapigwa risasi kwa muwakilishi wa wananchi na mkosoaji wa serikali limetanda kama wingu zito juu ya serikali hii. Jumuia ya kimataifa inaangalia kila kitu hasa kuhusiana na uvunjifu wa haki za binadamu.