johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Jaribu kufanya utafiti utagundua wanasiasa viongozi waliotoka familia maskini au kwenye uzururaji wanakuwaga na roho mbaya zaidi ya shetani.
Mfano ni Idd Amin aliyeokotwa mtaani na kuingizwa jeshini.
Lakini wale waliokulia kwenye maisha mazuri na roho zao huwa nzuri tu mfano akina Makongoro Nyerere Uhuru Kenyata, Fred Lowassa, Freeman Mbowe nk nk
Ramadhan Kareem!
Mfano ni Idd Amin aliyeokotwa mtaani na kuingizwa jeshini.
Lakini wale waliokulia kwenye maisha mazuri na roho zao huwa nzuri tu mfano akina Makongoro Nyerere Uhuru Kenyata, Fred Lowassa, Freeman Mbowe nk nk
Ramadhan Kareem!