Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,111
- 2,377
Nimekuwa naona mara nyingi kunapokuwa na ziara ya rais wale viongozi wa dini wanaokaribishwa kufungua shughuli kwa sala/swala wanakuwa na vikaratasi wanakuwa wanavisoma, najua ntaambiwa eti ili wasikosee wakatamka visivyo, mara protokali n.k,
Hivi kwenye sala/swala kiongozi anaweza kuteleza nini hasa? Mbona kanisani/msikitini hawasomi na hawakosei? Au kuna sababu gani hasa logically?
Binafsi huwa naona yale ni maigizo tu hakuna sala/swala pale.
Naomba kuwasilisha.
Hivi kwenye sala/swala kiongozi anaweza kuteleza nini hasa? Mbona kanisani/msikitini hawasomi na hawakosei? Au kuna sababu gani hasa logically?
Binafsi huwa naona yale ni maigizo tu hakuna sala/swala pale.
Naomba kuwasilisha.