"Ikawalazimu kuja kwa magari"?Slaa na baadhi ya wenzake walikuwa waje Dar kwa ndege kuweza kushiriki kikamilifu na wananchi, walikuja kuchemsha baada ya uwanja wa ndege kufungwa kwa muda, ikawalazimu kuja kwa magari
Kiongozi wa chama cha upinzani kinachosema Serikali ya CCM inafuja hela "ikawalazimu kuja kwa gari" kutoka Dodoma? Alikuwa anasubiri ndege?
Hujui hayo ni matusi kwa Mtanzania ambae hajawahi hata kupanda basi, achilia ndege?
So outta touch.