Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Kwa nini watanzania hawashangilii gaidi linapokutwa na kesi ya kujibu? Sidhani kama gaidi limekutwa na mabaya.. Hawa magaidi wangewadhuru viongozi wa serikali wewe ungependa? Wangechoma vituo vya mafuta wewe ungependa?Ni wanachama wa chadema ndiyo huwa wana kawaida ya kushangilia mabaya yanapowakuta wanachama wa vyama vingine!
Hawa hawajakutwa na mabaya.