Kwanini viongozi msitafute mbinu za kupata pesa kupitia kwenye hizi rasilimali zetu? Kwanini mnataka pesa ambayo inatengenezwa kwa jasho kubwa na manu

GREAT INVESTOR

Senior Member
Nov 13, 2018
128
295
Naandika hii post kwa masikitiko makubwa, nawakumbusheni viongozi wa serikali kuu,,

Watanzania wenye maisha magumu yaliyosababishwa kwa kiasi na serekali zetu, wamekata tamaa, wamepoteza matumai wanaishi ilimradi siku imepita.

Baadhi ya viongizi wamejisahau kuwa wanahudumia watu wenye kipato finyu, kipato kinachomwezesha kupata milo miwili,mmoja hata wengine siku inaisha kwa kubangaiza kuupata walau mlo mmoja.

Tizama bei ya mafuta ya kupikia, hii inasikitisha sana, Serikali imekua ikituambia inashugulikia suala ili ila limebaki historia,,anaumia maskini,anaumia asie jua kesho yake, wenye mishahara ya 2mil ofisi za umma wanafurahia na hawajui kuna Mtanzania hajui anakula nini jua likizama.

Tazama, huduma za matibabu..Tumepata uhuru 1961,ni masikitiko makubwa sana mpaka leo Watanzania asilimia kubwa hawana BIMA za afya,, naandika hapa, pengine kuna mtu anakata roho kwa kukosa matibabu sababu hana pesa ya kutibiwa, mwingine yuko hospitali hajapokelewa sababu hana pesa na mwingine yuko nyumbani anaugua nusu ya kufa hajaweza kwenda hospital sababu ya kukosa pesa.

Tazama tozo za mitandao ya simu, yule maskini anaetumiwa 5000 anatakiwa agawane na serikali.

Wakati huo kuna mtu kama mbunge na mawaziri ,na vitengo vingine wanalipwa mfano milion 5 na posho nyingi ,kwanini serikali isipambane na giant kama hawa ata kupunguza gap, Ivi kweli hakuna mechanisms ya kuweza kukata mishahara kwa hawa WAHESHIMIWA na IZO POSHO ziwekezwe kwenye Bima za Afya za wananchi.

Maajabu wenye mishahara iyo mikubwa ndo wanaongezewa,, Wanapewa nyumba za kuishi, magari, Bima za Afya na mishahara inapaa tu, wengine wanalalamika haitoshi.

Tazama gesi za kupika majumbani, tazama mafuta ya magari, tazama mafuta ya taa...mnyonge anaendelea kuteseka..wakati huo kunawengine Magari yao hawajui mara ya mwisho kuweka mafuta ni lini.

Tazama tuna mito, tazama tuna ardhi yenye rutuba na aina nyingi za madini madini mengine yako Tanzania tu,tazama tuna mbuga za wanyama,tazama tuna milima, tuna gesi Mtwara,tazama tuna Amani ya kutosha.

KWANINI VIONGOZI MSITAFUTE MECHANISMS ZA KUPATA PESA KWENYE IZI RASILIMALI, KWANINI NINYI MNATAKA PESA AMBAYO ISHATENGENEZWA KWA JASHO KUBWA NA MANUNG'UNIKO,,KWANINI MNATAKA KUTAFUNIWA NINYI MMEZE TUU,, MBONA NINYI NDO MNATAKIWA KUTENGENEZA MIFEREJI YA PESA KWA WANANCHI NA SIYO KUCHUKUA PESA KWAKO KIIVYO.

Hakuna Chozi la masikini anaedhulumiwa litaenda Bure...Kumbukeni nanyi ni binaadamu,,hamtaishi katika ivyo vyeo milele na hamtaishi milele.

Screenshot_20210819-144816_WhatsApp.jpg
 
Madaraka ya kulevya. Subiri vibaraka wa watawala waje wakutuane wakati umeongea ukweli mtupu.
 
Umeandika ukweli kabisaa...

Lakini pia
Kitu ambacho kitamtesa maskini zaidi ni kupenda kuishi kinyonge, unyonge unaongeza Masununiko na majozi, hivyo kukufanya ukose furaha mda wote...

Kuna wazee ambao kwa sasa hawana jinsi zaidi ya kuona Serikali yao imewatenga pole kwao na Mungu awape tumaini...

Ila kwa kijana Mwenzangu, hii Serikali Sioni leo wale kesho ikitatua Matatizo kama hayo na Mengine pia tujitatulie wenyewe...
Tusiishi kinyonge, Narudia tena hata kama hali ni mbaya kiasi gani usiishi kinyonge kwa Manung'uniko, lawama n.k hutopata furaha na hutotauta chochote...

Ndio makosa yapo mengi sana zaidi ya hayo, ila ukianza kuyafikiria roho itakuuma na ikiwa huna suluhisho(unless una njia ya kupambana kuyatatua)..

Binafsi hata habari ya kusikitisha ambayo sina msaada hua sitaki kuisikiliza, itanivunja nguvu na morali, kuna kipindi ilifika sitaki kuangalia Media hasa habari na mambo mengi ya kijamii sababu Mengi ninayokutana nayo Si ya kutia moyo zaidi ya Kukwazika...

Kwahio Tuepuke kuishi kinyonge hata kama huna kitu, Umaskini hautatuliwi kwa Unyonge, huruma, Laana, Misemo n.k..
 
KWANINI VIONGOZI MSITAFUTE MECHANISMS ZA KUPATA PESA KWENYE IZI RASILIMALI, KWANINI NINYI MNATAKA PESA AMBAYO ISHATENGENEZWA KWA JASHO KUBWA NA MANUNG'UNIKO,,KWANINI MNATAKA KUTAFUNIWA NINYI MMEZE TUU,, MBONA NINYI NDO MNATAKIWA KUTENGENEZA MIFEREJI YA PESA KWA WANANCHI NA SIYO KUCHUKUA PESA KWAKO KIIVYO.
 
Nchi hii ni kiboko kwa wanyonge aisee kila wakiamka wanakuja na mbinu mpya ya kodi badala ya kuweka mazingira mazuri kwa wananchi wao wao wapo kwa ajili ya kuwaumiza kwa kauli mbiu ya kijambazi ya uzalendo...
 
KWANINI VIONGOZI MSITAFUTE MECHANISMS ZA KUPATA PESA KWENYE IZI RASILIMALI, KWANINI NINYI MNATAKA PESA AMBAYO ISHATENGENEZWA KWA JASHO KUBWA NA MANUNG'UNIKO,,KWANINI MNATAKA KUTAFUNIWA NINYI MMEZE TUU,, MBONA NINYI NDO MNATAKIWA KUTENGENEZA MIFEREJI YA PESA KWA WANANCHI NA SIYO KUCHUKUA PESA KWAKO KIIVYO.
HAO VIONGOZI WENYEWE NI WACHUMIA TUMBO UKITAKA KUSHUHUDIA NINACHOKUELEZA ITOKEE TU HATA HAO MAWAZIRI WANAOJIFANYA ETI NI WAZALENDO WAMEVULIWA HUO UWAZIRI UONE WANAVYOSHINDA WANALALAMIKA KWENYE SOCIAL MEDIA mfano KIGWANGARA....HAO WOTE UNAOWAONA HAWANA LOLOTE BRO WANANJAA MPAKA VICHWANI MWAO.... NA WENGINE WANASHINDA KWA WAGANGA WAKIZITAFUTA HIZO NAFASI..
 
Naandika hii post kwa masikitiko makubwa,, nawakumbusheni viongozi wa serikali kuu,,

Watanzania wenye maisha magumu yaliyosababishwa kwa kiasi na serekali zetu, wamekata tamaa,wamepoteza matumai wanaishi ilimradi siku imepita .

Baadhi ya viongizi wamejisahau kuwa wanahudumia watu wenye kipato finyu, kipato kinachomwezesha kupata milo miwili,mmoja hata wengine siku inaisha kwa kubangaiza kuupata walau mlo mmoja.

Tizama bei ya mafuta ya kupikia, hii inasikitisha sana, Serikali imekua ikituambia inashugulikia suala ili ila limebaki historia,,anaumia maskini,anaumia asie jua kesho yake, wenye mishahara ya 2mil ofisi za umma wanafurahia na hawajui kuna Mtanzania hajui anakula nini jua likizama.

Tazama, huduma za matibabu..Tumepata uhuru 1961,ni masikitiko makubwa sana mpaka leo Watanzania asilimia kubwa hawana BIMA za afya,, naandika hapa, pengine kuna mtu anakata roho kwa kukosa matibabu sababu hana pesa ya kutibiwa, mwingine yuko hospitali hajapokelewa sababu hana pesa na mwingine yuko nyumbani anaugua nusu ya kufa hajaweza kwenda hospital sababu ya kukosa pesa

Tazama tozo za mitandao ya simu, yule maskini anaetumiwa 5000 anatakiwa agawane na serikali ,

Wakati huo kuna mtu kama mbunge na mawaziri ,na vitengo vingine wanalipwa mfano milion 5 na posho nyingi ,kwanini serikali isipambane na giant kama hawa ata kupunguza gap, Ivi kweli hakuna mechanisms ya kuweza kukata mishahara kwa hawa WAHESHIMIWA na IZO POSHO ziwekezwe kwenye Bima za Afya za wananchi.

Maajabu wenye mishahara iyo mikubwa ndo wanaongezewa,, Wanapewa nyumba za kuishi, magari, Bima za Afya na mishahara inapaa tu, wengine wanalalamika haitoshi.

Tazama gesi za kupika majumbani, tazama mafuta ya magari, tazama mafuta ya taa...mnyonge anaendelea kuteseka..wakati huo kunawengine Magari yao hawajui mara ya mwisho kuweka mafuta ni lini..

Tazama tuna mito, tazama tuna ardhi yenye rutuba na aina nyingi za madini madini mengine yako Tanzania tu,tazama tuna mbuga za wanyama,tazama tuna milima, tuna gesi Mtwara,tazama tuna Amani ya kutosha...

KWANINI VIONGOZI MSITAFUTE MECHANISMS ZA KUPATA PESA KWENYE IZI RASILIMALI, KWANINI NINYI MNATAKA PESA AMBAYO ISHATENGENEZWA KWA JASHO KUBWA NA MANUNG'UNIKO,,KWANINI MNATAKA KUTAFUNIWA NINYI MMEZE TUU,, MBONA NINYI NDO MNATAKIWA KUTENGENEZA MIFEREJI YA PESA KWA WANANCHI NA SIYO KUCHUKUA PESA KWAKO KIIVYO.

Hakuna Chozi la masikini anaedhulumiwa litaenda Bure...Kumbukeni nanyi ni binaadamu,,hamtaishi katika ivyo vyeo milele na hamtaishi milele.View attachment 1898987
Mkuu acha kuwasumbua viongozi wetu,watakuwa wanatest mitambo baada ya kupata chanjo :p :p
 
Naandika hii post kwa masikitiko makubwa, nawakumbusheni viongozi wa serikali kuu,,

Watanzania wenye maisha magumu yaliyosababishwa kwa kiasi na serekali zetu, wamekata tamaa, wamepoteza matumai wanaishi ilimradi siku imepita.

Baadhi ya viongizi wamejisahau kuwa wanahudumia watu wenye kipato finyu, kipato kinachomwezesha kupata milo miwili,mmoja hata wengine siku inaisha kwa kubangaiza kuupata walau mlo mmoja.

Tizama bei ya mafuta ya kupikia, hii inasikitisha sana, Serikali imekua ikituambia inashugulikia suala ili ila limebaki historia,,anaumia maskini,anaumia asie jua kesho yake, wenye mishahara ya 2mil ofisi za umma wanafurahia na hawajui kuna Mtanzania hajui anakula nini jua likizama.

Tazama, huduma za matibabu..Tumepata uhuru 1961,ni masikitiko makubwa sana mpaka leo Watanzania asilimia kubwa hawana BIMA za afya,, naandika hapa, pengine kuna mtu anakata roho kwa kukosa matibabu sababu hana pesa ya kutibiwa, mwingine yuko hospitali hajapokelewa sababu hana pesa na mwingine yuko nyumbani anaugua nusu ya kufa hajaweza kwenda hospital sababu ya kukosa pesa.

Tazama tozo za mitandao ya simu, yule maskini anaetumiwa 5000 anatakiwa agawane na serikali.

Wakati huo kuna mtu kama mbunge na mawaziri ,na vitengo vingine wanalipwa mfano milion 5 na posho nyingi ,kwanini serikali isipambane na giant kama hawa ata kupunguza gap, Ivi kweli hakuna mechanisms ya kuweza kukata mishahara kwa hawa WAHESHIMIWA na IZO POSHO ziwekezwe kwenye Bima za Afya za wananchi.

Maajabu wenye mishahara iyo mikubwa ndo wanaongezewa,, Wanapewa nyumba za kuishi, magari, Bima za Afya na mishahara inapaa tu, wengine wanalalamika haitoshi.

Tazama gesi za kupika majumbani, tazama mafuta ya magari, tazama mafuta ya taa...mnyonge anaendelea kuteseka..wakati huo kunawengine Magari yao hawajui mara ya mwisho kuweka mafuta ni lini.

Tazama tuna mito, tazama tuna ardhi yenye rutuba na aina nyingi za madini madini mengine yako Tanzania tu,tazama tuna mbuga za wanyama,tazama tuna milima, tuna gesi Mtwara,tazama tuna Amani ya kutosha.

KWANINI VIONGOZI MSITAFUTE MECHANISMS ZA KUPATA PESA KWENYE IZI RASILIMALI, KWANINI NINYI MNATAKA PESA AMBAYO ISHATENGENEZWA KWA JASHO KUBWA NA MANUNG'UNIKO,,KWANINI MNATAKA KUTAFUNIWA NINYI MMEZE TUU,, MBONA NINYI NDO MNATAKIWA KUTENGENEZA MIFEREJI YA PESA KWA WANANCHI NA SIYO KUCHUKUA PESA KWAKO KIIVYO.

Hakuna Chozi la masikini anaedhulumiwa litaenda Bure...Kumbukeni nanyi ni binaadamu,,hamtaishi katika ivyo vyeo milele na hamtaishi milele.

View attachment 1898987
 

Attachments

  • VID-20210820-WA0019.mp4
    10.8 MB
Naandika hii post kwa masikitiko makubwa, nawakumbusheni viongozi wa serikali kuu,,

Watanzania wenye maisha magumu yaliyosababishwa kwa kiasi na serekali zetu, wamekata tamaa, wamepoteza matumai wanaishi ilimradi siku imepita.

Baadhi ya viongizi wamejisahau kuwa wanahudumia watu wenye kipato finyu, kipato kinachomwezesha kupata milo miwili,mmoja hata wengine siku inaisha kwa kubangaiza kuupata walau mlo mmoja.

Tizama bei ya mafuta ya kupikia, hii inasikitisha sana, Serikali imekua ikituambia inashugulikia suala ili ila limebaki historia,,anaumia maskini,anaumia asie jua kesho yake, wenye mishahara ya 2mil ofisi za umma wanafurahia na hawajui kuna Mtanzania hajui anakula nini jua likizama.

Tazama, huduma za matibabu..Tumepata uhuru 1961,ni masikitiko makubwa sana mpaka leo Watanzania asilimia kubwa hawana BIMA za afya,, naandika hapa, pengine kuna mtu anakata roho kwa kukosa matibabu sababu hana pesa ya kutibiwa, mwingine yuko hospitali hajapokelewa sababu hana pesa na mwingine yuko nyumbani anaugua nusu ya kufa hajaweza kwenda hospital sababu ya kukosa pesa.

Tazama tozo za mitandao ya simu, yule maskini anaetumiwa 5000 anatakiwa agawane na serikali.

Wakati huo kuna mtu kama mbunge na mawaziri ,na vitengo vingine wanalipwa mfano milion 5 na posho nyingi ,kwanini serikali isipambane na giant kama hawa ata kupunguza gap, Ivi kweli hakuna mechanisms ya kuweza kukata mishahara kwa hawa WAHESHIMIWA na IZO POSHO ziwekezwe kwenye Bima za Afya za wananchi.

Maajabu wenye mishahara iyo mikubwa ndo wanaongezewa,, Wanapewa nyumba za kuishi, magari, Bima za Afya na mishahara inapaa tu, wengine wanalalamika haitoshi.

Tazama gesi za kupika majumbani, tazama mafuta ya magari, tazama mafuta ya taa...mnyonge anaendelea kuteseka..wakati huo kunawengine Magari yao hawajui mara ya mwisho kuweka mafuta ni lini.

Tazama tuna mito, tazama tuna ardhi yenye rutuba na aina nyingi za madini madini mengine yako Tanzania tu,tazama tuna mbuga za wanyama,tazama tuna milima, tuna gesi Mtwara,tazama tuna Amani ya kutosha.

KWANINI VIONGOZI MSITAFUTE MECHANISMS ZA KUPATA PESA KWENYE IZI RASILIMALI, KWANINI NINYI MNATAKA PESA AMBAYO ISHATENGENEZWA KWA JASHO KUBWA NA MANUNG'UNIKO,,KWANINI MNATAKA KUTAFUNIWA NINYI MMEZE TUU,, MBONA NINYI NDO MNATAKIWA KUTENGENEZA MIFEREJI YA PESA KWA WANANCHI NA SIYO KUCHUKUA PESA KWAKO KIIVYO.

Hakuna Chozi la masikini anaedhulumiwa litaenda Bure...Kumbukeni nanyi ni binaadamu,,hamtaishi katika ivyo vyeo milele na hamtaishi milele.

View attachment 1898987
 

Attachments

  • VID-20210723-WA0028.mp4
    11.3 MB
Naandika hii post kwa masikitiko makubwa, nawakumbusheni viongozi wa serikali kuu,,

Watanzania wenye maisha magumu yaliyosababishwa kwa kiasi na serekali zetu, wamekata tamaa, wamepoteza matumai wanaishi ilimradi siku imepita.

Baadhi ya viongizi wamejisahau kuwa wanahudumia watu wenye kipato finyu, kipato kinachomwezesha kupata milo miwili,mmoja hata wengine siku inaisha kwa kubangaiza kuupata walau mlo mmoja.

Tizama bei ya mafuta ya kupikia, hii inasikitisha sana, Serikali imekua ikituambia inashugulikia suala ili ila limebaki historia,,anaumia maskini,anaumia asie jua kesho yake, wenye mishahara ya 2mil ofisi za umma wanafurahia na hawajui kuna Mtanzania hajui anakula nini jua likizama.

Tazama, huduma za matibabu..Tumepata uhuru 1961,ni masikitiko makubwa sana mpaka leo Watanzania asilimia kubwa hawana BIMA za afya,, naandika hapa, pengine kuna mtu anakata roho kwa kukosa matibabu sababu hana pesa ya kutibiwa, mwingine yuko hospitali hajapokelewa sababu hana pesa na mwingine yuko nyumbani anaugua nusu ya kufa hajaweza kwenda hospital sababu ya kukosa pesa.

Tazama tozo za mitandao ya simu, yule maskini anaetumiwa 5000 anatakiwa agawane na serikali.

Wakati huo kuna mtu kama mbunge na mawaziri ,na vitengo vingine wanalipwa mfano milion 5 na posho nyingi ,kwanini serikali isipambane na giant kama hawa ata kupunguza gap, Ivi kweli hakuna mechanisms ya kuweza kukata mishahara kwa hawa WAHESHIMIWA na IZO POSHO ziwekezwe kwenye Bima za Afya za wananchi.

Maajabu wenye mishahara iyo mikubwa ndo wanaongezewa,, Wanapewa nyumba za kuishi, magari, Bima za Afya na mishahara inapaa tu, wengine wanalalamika haitoshi.

Tazama gesi za kupika majumbani, tazama mafuta ya magari, tazama mafuta ya taa...mnyonge anaendelea kuteseka..wakati huo kunawengine Magari yao hawajui mara ya mwisho kuweka mafuta ni lini.

Tazama tuna mito, tazama tuna ardhi yenye rutuba na aina nyingi za madini madini mengine yako Tanzania tu,tazama tuna mbuga za wanyama,tazama tuna milima, tuna gesi Mtwara,tazama tuna Amani ya kutosha.

KWANINI VIONGOZI MSITAFUTE MECHANISMS ZA KUPATA PESA KWENYE IZI RASILIMALI, KWANINI NINYI MNATAKA PESA AMBAYO ISHATENGENEZWA KWA JASHO KUBWA NA MANUNG'UNIKO,,KWANINI MNATAKA KUTAFUNIWA NINYI MMEZE TUU,, MBONA NINYI NDO MNATAKIWA KUTENGENEZA MIFEREJI YA PESA KWA WANANCHI NA SIYO KUCHUKUA PESA KWAKO KIIVYO.

Hakuna Chozi la masikini anaedhulumiwa litaenda Bure...Kumbukeni nanyi ni binaadamu,,hamtaishi katika ivyo vyeo milele na hamtaishi milele.

View attachment 1898987
DAWA NI KATIBA MPYA.
 
Tatizo CCM
Naandika hii post kwa masikitiko makubwa, nawakumbusheni viongozi wa serikali kuu,,

Watanzania wenye maisha magumu yaliyosababishwa kwa kiasi na serekali zetu, wamekata tamaa, wamepoteza matumai wanaishi ilimradi siku imepita.

Baadhi ya viongizi wamejisahau kuwa wanahudumia watu wenye kipato finyu, kipato kinachomwezesha kupata milo miwili,mmoja hata wengine siku inaisha kwa kubangaiza kuupata walau mlo mmoja.

Tizama bei ya mafuta ya kupikia, hii inasikitisha sana, Serikali imekua ikituambia inashugulikia suala ili ila limebaki historia,,anaumia maskini,anaumia asie jua kesho yake, wenye mishahara ya 2mil ofisi za umma wanafurahia na hawajui kuna Mtanzania hajui anakula nini jua likizama.

Tazama, huduma za matibabu..Tumepata uhuru 1961,ni masikitiko makubwa sana mpaka leo Watanzania asilimia kubwa hawana BIMA za afya,, naandika hapa, pengine kuna mtu anakata roho kwa kukosa matibabu sababu hana pesa ya kutibiwa, mwingine yuko hospitali hajapokelewa sababu hana pesa na mwingine yuko nyumbani anaugua nusu ya kufa hajaweza kwenda hospital sababu ya kukosa pesa.

Tazama tozo za mitandao ya simu, yule maskini anaetumiwa 5000 anatakiwa agawane na serikali.

Wakati huo kuna mtu kama mbunge na mawaziri ,na vitengo vingine wanalipwa mfano milion 5 na posho nyingi ,kwanini serikali isipambane na giant kama hawa ata kupunguza gap, Ivi kweli hakuna mechanisms ya kuweza kukata mishahara kwa hawa WAHESHIMIWA na IZO POSHO ziwekezwe kwenye Bima za Afya za wananchi.

Maajabu wenye mishahara iyo mikubwa ndo wanaongezewa,, Wanapewa nyumba za kuishi, magari, Bima za Afya na mishahara inapaa tu, wengine wanalalamika haitoshi.

Tazama gesi za kupika majumbani, tazama mafuta ya magari, tazama mafuta ya taa...mnyonge anaendelea kuteseka..wakati huo kunawengine Magari yao hawajui mara ya mwisho kuweka mafuta ni lini.

Tazama tuna mito, tazama tuna ardhi yenye rutuba na aina nyingi za madini madini mengine yako Tanzania tu,tazama tuna mbuga za wanyama,tazama tuna milima, tuna gesi Mtwara,tazama tuna Amani ya kutosha.

KWANINI VIONGOZI MSITAFUTE MECHANISMS ZA KUPATA PESA KWENYE IZI RASILIMALI, KWANINI NINYI MNATAKA PESA AMBAYO ISHATENGENEZWA KWA JASHO KUBWA NA MANUNG'UNIKO,,KWANINI MNATAKA KUTAFUNIWA NINYI MMEZE TUU,, MBONA NINYI NDO MNATAKIWA KUTENGENEZA MIFEREJI YA PESA KWA WANANCHI NA SIYO KUCHUKUA PESA KWAKO KIIVYO.

Hakuna Chozi la masikini anaedhulumiwa litaenda Bure...Kumbukeni nanyi ni binaadamu,,hamtaishi katika ivyo vyeo milele na hamtaishi milele.

View attachment 1898987
 
Hili Taifa bila kubadili katibu ili upatikanaji wa viongozi uwe na kishinda kama kuomba kazi na kuwa na panel ya kuihoji ( interview) ili kupata intelligent leaders hatutafika popote!! Tunaendesha nchi kizamani mno aisee !!! Anaejipendekeza ndio hupewa cheo !!!
 
Back
Top Bottom