Kwanini vinyesi vya hawa viumbe (Binadamu, Paka na Mbwa) vinanuka kuliko viumbe wengine?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
3,958
12,930
Nimekaa nimejiuliza kwanini unaweza ukavumilia kukaa na vinyesi vya kuku, bata, ng'ombe, mbuzi, kondoo, au hata nguruwe bila shida yoyote lakini huwezi kuvumilia kukaa na kinyesi cha mbwa, paka na binadamu maana harufu yake haivumiliki.

Je Hawa viumbe wanakula nini mpaka vinyesi vyao viwe vinatoa harufu Kali?
 
kula nyasi kwa wiki moja na kinyesi chako hakitanuka kama ilivyo sasa.

sasa mtu umepiga balimi, yai la kupikwa(la kuku wa kisasa)
karanga/nazi
umefika home umepiga ugali na mnazo ita mboga saba hicho kinyesi unadhani itakuaje?

mkuu wakikujibu wasisahau kutuambia na kinyesi cha nguruwe.
 
Wanakula aina nyingi za vyakula. tofauti na viumbe wengine mfano simba hula nyama tu, ng'ombe, mbuzi, na wengineo hula nyasi tu.
 
Nathan carnivorous wote wana vinyesi vinavyonuka sana
Yaan mnyama anaekula nyama
Wakati ndege pamoja na secondary consumers vinyesi vyao havinuki kiivyo

Hii inaexplain ya kuwa kila ukiracho kuna processi ya kukitoa na kuoza
Sasa ule muozo wa chakula kilichotokana na nyama hufanya uozo unuke
 
Back
Top Bottom