Nimefanya uchunguzi nikabaini katika wagonjwa wa akili 10, kati ya hao 7 wanahistoria ya kuwa na uwezo mkubwa sana darasani (vipanga).
Lakini kwanini wao ndo wahanga wa haya magonjwa?
Wataalamu wa magonjwa ya akili hebu nisaidieni.
Naomba kutoa hoja.
Lakini kwanini wao ndo wahanga wa haya magonjwa?
Wataalamu wa magonjwa ya akili hebu nisaidieni.
Naomba kutoa hoja.