Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,489
- 40,999
Ndugu yangu Stuxnet, namshukuru Mungu, bado ni buheri wa afya njema.Mkuu Bams ulipotea sana, tumemiss madini yako. Nimefarijika kusoma post yako leo
Chini ya utawala ule dhalimu, tulikuwa tunapitiwa na mengi, tunachoshukuru Mungu bado ametulinda, ametupa nafasi ya kuyaona haya yaliyotufika ili tuzidi kuongeza uzoefu wa maisha ya hapa Duniani.