lutemi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,743
- 1,379
Habari wadau.
Najiuliza tu kwanini mtu anatoka upinzani hususani chadema anapohamia CCM anapata nafasi kubwa
Je ina maana CCM Hawaandai vijana?
Je ina maana vijana wa upinzani ndio zao bora?
Je ina maana akina
Kitila
Mwita
Katambi
Kafulila
Na wengine wengi ni bora kuliko wale wa LUMUMBA?
NAWAZA TU JAMANI.
TUJIKINGE NA CORONA, CORONA INAUA
Najiuliza tu kwanini mtu anatoka upinzani hususani chadema anapohamia CCM anapata nafasi kubwa
Je ina maana CCM Hawaandai vijana?
Je ina maana vijana wa upinzani ndio zao bora?
Je ina maana akina
Kitila
Mwita
Katambi
Kafulila
Na wengine wengi ni bora kuliko wale wa LUMUMBA?
NAWAZA TU JAMANI.
TUJIKINGE NA CORONA, CORONA INAUA