Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
Rose huyo sharobaro uliyekutana nae akakutoa hamu usimrudie tena maana duh unavyowaongelea vijana as if wote wameoza au ni vijana wa valuer na onyagi wakati wengine hawatumiii hayo mambo na wako fit mbaya
Acha kukutana na wauza sura bana kutana na real kijana asiyejua burger ni nini wala chips mayai
hahah hahahaaa... sawa bab ntamwacha sharobaro wangu ntahamia kwako vp nafas ipo?
unajishtukia kaka ..sKUMANISHA WAKAKA WOTE...kwan mto mada aliposema wamama wanapenda kutembea na vijana wote alimaanisha WAMAMA WOOOTE?
automaticallyy alikua anamaanisha WALE WENYE SWAGA IZO ..