Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,655
- 21,075
mzee bufa upo?? Corona vipi huko.vipi umepata chanjo?
Mkuu, corona bado naisikia sikia ila mambo yote yamerudi kama hapo awali. Bado sijapata chanjo ila nitapata sina noma nayo.
mzee bufa upo?? Corona vipi huko.vipi umepata chanjo?
Kwa hiyo sisi sio wa thamaniMwanamke ni kiumbe mwenye thamani kubwa katika jamii(japo hawajijui) kwaiyo kwa kufanya vile anakuwa kaishusha thamani yake na thamani ya jamii inayo mzunguka ndio maana usemwa zaid ya mwanaume.
Ni wathamani pia lakin tumazidiana.Kwa hiyo sisi sio wa thamani
SawaNi wathamani lakin kila tumazidiana.
Nakushauri usichanje kabisa acha kabisaMkuu, corona bado naisikia sikia ila mambo yote yamerudi kama hapo awali. Bado sijapata chanjo ila nitapata sina noma nayo.
Mkuu akitupia usisite kuni-tag kiongozi.Kuna nyuzi bila picha au video huwa sizielewi kabisa...
Hebu tupia koneksheni mojawapo ili diskasheni tuielewe...
Ngoja tumsubirie mkuuMkuu akitupia usisite kuni-tag kiongozi.
Wale maaskofu na wachungaji waliotoa comments za "ni yeye/si yeye" sijui walijuajeMKONO NI WA BAUNSA.....
I think it’s because mwanamke ni mama, na heshima yake ni kubwa mno na usitiri wake hautakiwi kutiliwa shakaVideo ya ngono iki leak mwanamke aliyomo kwenye hiyo video huwa haangaliwi vizr na jamii yake tofauti na mwanaume aliyehusika pia kwenye hiyo video.mwanamke atataniwa kiwa Aina ya matusi na utani na sometimes inaweza kumpelekea msongo wa mawazo mwisho kujiua lakini kwa upande wa mwanaume yeye anakuwa hajali kitu utafikiri hamna kilichotokea na Kuna baadhi ya jamii anapongezwa kabisa mfano video ya Kim kadashian na Ray
ila bashite kupekuapekua hadi anaikuta ile video inayofanana na gwajiboy, atakuwa alikuwa addicted na pono, sio bure.
Ila Sura siyo ya BAUNSA.
Alikuwa yeye bwanaWale maaskofu na wachungaji waliotoa comments za "ni yeye/si yeye" sijui walijuaje
Aisee hii kaliKufuli linalofunguliwa na kila funguo halina kazi ila funguo inayofungua kila kufuli inaitwa master key. Discuss (10 marks)