Kwanini uzinzi ni dhambi? Arggghh!

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,462
154,333
Kwa nini uzinzi ni dhambi? Watu tumekubaliana kwa ridhaa yetu kula raha, sijamchukua mke wa mtu. Huyu niliyemchukua mimi hana mume, bwana wala boyfriend. Kwanini kwa kulala naye niambiwe mimetenda dhambi? Mambo mengine yanaudhi kweli!!!!
 
Hapo hamna ridhaa cuz hamna mtu aliyehalalisha kitendo chenu.
Ili hilo tendo liwe halali, lazima kuwe na shahidi... ambaye ni kama shekhe, mchungaji, padri au afisa mwenye mamlaka hayo!
 
mbona mm nina mpnz wangu_lakn hatutendi dhambi,..inategemeana na wewe mwenyewe unavyojifikiria
 
Mmmmmmhhhhh! Kwakweli nami nakereka sana...... ni uingiliaji wa consensual agreements za watu........
 
Kwa nini uzinzi ni dhambi? Watu tumekubaliana kwa ridhaa yetu kula raha, sijamchukua mke wa mtu. Huyu niliyemchukua mimi hana mume, bwana wala boyfriend. Kwanini kwa kulala naye niambiwe mimetenda dhambi? Mambo mengine yanaudhi kweli!!!!

kama si dhambi kwa nini mnajificha?
 
Kwa nini uzinzi ni dhambi? Watu tumekubaliana kwa ridhaa yetu kula raha, sijamchukua mke wa mtu. Huyu niliyemchukua mimi hana mume, bwana wala boyfriend. Kwanini kwa kulala naye niambiwe mimetenda dhambi? Mambo mengine yanaudhi kweli!!!!

kama mmekubaliana mnaona wakati wa kula tunda umefika asi muoane tu? kwanini mkae kujihuliza dhambi au si dhambi wakati ushaambiwa ni dhambi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom