johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,746
- 141,612
Nimefuatilia zoezi la kura za maoni za viti maalumu upande wa UVCCM nimechoka kabisa.
Naipenda sana CCM lakini kiukweli UVCCM wa zama hizi wanafeli sana. Yaani wadada wote waliojazana CCM wenye elimu tofauti tofauti mnashindwa kupata wagombea makini hadi mnatuletea magarasa.
Haishangazi kuwaona wakifika bungeni wanaishia kuolewa na akina zito.
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Naipenda sana CCM lakini kiukweli UVCCM wa zama hizi wanafeli sana. Yaani wadada wote waliojazana CCM wenye elimu tofauti tofauti mnashindwa kupata wagombea makini hadi mnatuletea magarasa.
Haishangazi kuwaona wakifika bungeni wanaishia kuolewa na akina zito.
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!