Kwanini UTUMISHI inaendelea kuwapa mikataba Watumishi wanaostaafu?

Midimay

JF-Expert Member
Apr 12, 2015
2,907
4,770
Habari za mchana wakuu.

Kama swali lilivyouliza; Tetesi na pengine uhakika ni kwamba UTUMISHI wameendelea kuwa na tabia ya kukubali lobying kwa watumishi wanaogopa kustaafu, kuwaongezea mikataba baada kufikisha umri wa kustaafu kwa lazima(kwa mujibu wa sheria na kanuni mbali mbali) yaani miaka 60.

Sote tunajua kwamba Taifa linapitia katika kipindi kigumu sana ya vijana wake wanaohitimu ngazi mbali mbali za elimu kukosa ajira.

Na njia mojawapo ya kutengeneza ajira kwa vijana wake ni walihudumu kwa muda hadi kufikisha miaka 60 ya umri, kustaafu utumishi wao na kwenda nyumbani.

Sasa tabia hii ya kuongeza mikataba imeshakuwa kawaida sana ndani ya UTUMISHI wa umma.

Na hali ni mbaya zaidi ndani ya Taasisi za umma, mashirika ya umma na mamlaka za serikali za uthibiti.

Kama dola ilikuwa haijui hili, basi naomba walitupie jicho.

Tabia hiyo ni hujuma kubwa sana kwa Taifa.

Tunawaongezea wazee ambao nguvu yao ya kuhudumu imeisha. Wakapumzike nyumbani ili nafasi ziwepo kwa ajili ya vijana wenye nguvu.

Tunakubalije lobying za tamaa zao? Kama kwa miaka 30 ya kuhudumu , ataweza kwa miaka mitano au 10?

Sio kuwazibia vijana nafasi ya kupata ajira ndani ya Utumishi wa Umma?

Operation ya kuwaondoa wastaafu wanaoongezewa mikataba ifanyike.

Waende nyumbani ili vijana wapate ajira.
 
Bora umeongea,vijitu vizee vimechoka mwili na akili afu unamuongezea mkataba.

Hii tabia imeshamiri Sana Tarura,watu wanastaafu afu wanapewa mikataba hasa waliokuwa na vyeo lakini staff wa kawaida huwa hawapewi.

Huu ni Wehu ikozingatiwa watu wengi Wana uhitaji wa ajira.
 
vijana hamueleweki kama mnawaza kunyanduana tu na hata nguvu zenyewe hamna hadi mpake mkongo, mkipewa majukumu ya maana mtaweza kweli? waacheni wazee wapige kazi nyie endeleeni kushinda twita na FB ku like makalio makubwa tu
Mitajie ofisi au sekta yeyote yenye wazee wengi kuliko vijana Ili tujue kwamba vijana hawawezi
 
Tuzee tunaogopa Sana kustaafu,hakuna cha maana walikifanya walipokuwa ma Kazi lakini vijana wa Leo ndani ya miaka 10 ana nyumba,gari,biashyna familia..

Hivi vizee vinavyozingua kustaafu ndio vikipata mafao huanza kujenga nyumba na upuuzi kama huo.

Na ofisini vina roho mbaya kweli kweli.
 
Tuzee tunaogopa Sana kustaafu,hakuna cha maana walikifanya walipokuwa ma Kazi lakini vijana wa Leo ndani ya miaka 10 ana nyumba,gari,biashyna familia..

Hivi vizee vinavyozingua kustaafu ndio vikipata mafao huanza kujenga nyumba na upuuzi kama huo.

Na ofisini vina roho mbaya kweli kweli.
Unaiona akili yako.
 
Kwa kweli IKULU itupie jicho huko. Kuna watu wanaongezea mikataba bila ulazima. Bila uhitaji. Basi tu ni hofu yao ya kwenda kupambana mtaani.
 
Watakuwa wanapewa cha juu
maana ukifuatilia sana hao wanaoongezewa mikataba huwa wanajali maslahi yao tu hakuna input zaidi kwenye taasisi zaidi ya kuondoka wakiacha migogoro na migawanyiko makubwa baina ya watumishi wanaobaki, mtu maliza muda wako ondoka huna cha ziada utakachofanya kwa kuongezewa miaka 2 zaidi ya kupiga usingizi ofisini.
 
Mleta mada alete ushahidi wa wastaafu waliopewa mikataba vinginevyo huo ni umbeya kama umbeya mwingine

Ziwekwe takwimu humu watu wadadavue
Wewe unaweza ukajiongeza ukapata takwimu. Sio lazima kuweka majina ya taasisi zinazohusika hapa. Lakn tumaweza kuchangia kuwekwa kwa kanuni za kuzuia kuwaongezea wastaafu mikataba bila ulazima na bila kufanyika evaluation ya ukweli wa kuhitajika kwao.
Ni kuwahujumu vijana wa nchi hii.
Wameshahudumu kwa zaidi ya miaka 30 waondoke. Hawana jipya.
 
Mleta mada alete ushahidi wa wastaafu waliopewa mikataba vinginevyo huo ni umbeya kama umbeya mwingine

Ziwekwe takwimu humu watu wadadavue
Mimi ninao ushahidi,huu upuuzi ulianzishwa na Mwendazake..

Tanrods umekithiri,yule marehemu Mfugale alikuwa amestaafu kitambo,Ma Regional Manager wengi Sana wa Tanroads wamestaafu..

Mtendaji mkuu wa Tarura amestaafu kitambo na bado anaongezewa mkataba tuu wakati wengine wapo.

Huu ni Wehu na sababu ni kwamba hao watu huwa ni wanatoa pesa kwa wenye mamlaka na hivyo wanatumia hiyo loop hole.
 
vijana hamueleweki kama mnawaza kunyanduana tu na hata nguvu zenyewe hamna hadi mpake mkongo, mkipewa majukumu ya maana mtaweza kweli? waacheni wazee wapige kazi nyie endeleeni kushinda twita na FB ku like makalio makubwa tu
Sio kweli Mzee, Kuna vijana wachapa kazi na wapo waendekeza ujinga. Wazee wengi wapo kazini lakini wapo wapo tu dololo wakijaza makabrasha "as usual" wakisubiri ijumaa ifike waende weekend. Hawana creativity.
 
Habari za mchana wakuu.

Kama swali lilivyouliza; Tetesi na pengine uhakika ni kwamba UTUMISHI wameendelea kuwa na tabia ya kukubali lobying kwa watumishi wanaogopa kustaafu, kuwaongezea mikataba baada kufikisha umri wa kustaafu kwa lazima(kwa mujibu wa sheria na kanuni mbali mbali) yaani miaka 60.

Sote tunajua kwamba Taifa linapitia katika kipindi kigumu sana ya vijana wake wanaohitimu ngazi mbali mbali za elimu kukosa ajira.

Na njia mojawapo ya kutengeneza ajira kwa vijana wake ni walihudumu kwa muda hadi kufikisha miaka 60 ya umri, kustaafu utumishi wao na kwenda nyumbani.

Sasa tabia hii ya kuongeza mikataba imeshakuwa kawaida sana ndani ya UTUMISHI wa umma.

Na hali ni mbaya zaidi ndani ya Taasisi za umma, mashirika ya umma na mamlaka za serikali za uthibiti.

Kama dola ilikuwa haijui hili, basi naomba walitupie jicho.

Tabia hiyo ni hujuma kubwa sana kwa Taifa.

Tunawaongezea wazee ambao nguvu yao ya kuhudumu imeisha. Wakapumzike nyumbani ili nafasi ziwepo kwa ajili ya vijana wenye nguvu.

Tunakubalije lobying za tamaa zao? Kama kwa miaka 30 ya kuhudumu , ataweza kwa miaka mitano au 10?

Sio kuwazibia vijana nafasi ya kupata ajira ndani ya Utumishi wa Umma?

Operation ya kuwaondoa wastaafu wanaoongezewa mikataba ifanyike.

Waende nyumbani ili vijana wapate ajira.
Poor succession plan and corruption ni shida kubwa.
 
Back
Top Bottom