Mavula:
Haki sawa said:
Yuko fit kwa lipi acheni uongo wenu, huyu Alimasi za UDSM bachelor yake ya PS& PA mwaka 2005 , alipata GPA ya 2.3 , huo ndio ufit? ALipewa kazi wizarani kwa kuwa baba yake Mzazi alikuwa BALOZI wa Tanzania , so alone bwana baba , sasa naona Jk kaamua kumbeba naye huyu, hana hata taaluma ya uandishi wa habari.......do I say more?
Alivyokuwa Udsm akiishi Mabino hostel .........
SOMA WASIFU WAKE KWENYE THREAD HII Togolani Mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa JK - Hotuba
2. Hoyce Temu sijui
Kwanini uteuzi wa Togolani Mavula na Hoyce Temu umezua mjadala?
Nimejiuliza why particularly Togolani Mavula anatokea kwenye thread heading, likewise Hoyce Temu kumbe ni hivi: Huyu Togolani Mavila ana historia ya kuwa na ukaribu na Ombeni Sifue aliyekuwa Katibu Mkuu ofisi ya Rais Kikwete ambao wote ni wapare hivyo alimpa ka pendeleo fulani maana had no sifa sitahiki. soma chiniNgongo
JF-Expert Member
Huyu Mavura ni Mpare uteuzi wake umewezekana kwasababu Katibu Mkuu Kiongozi ni Mpare mwenzake ebo au unajifanya hujui ukabila upo kila mahali.Haki sawa said:
Yuko fit kwa lipi acheni uongo wenu, huyu Alimasi za UDSM bachelor yake ya PS& PA mwaka 2005 , alipata GPA ya 2.3 , huo ndio ufit? ALipewa kazi wizarani kwa kuwa baba yake Mzazi alikuwa BALOZI wa Tanzania , so alone bwana baba , sasa naona Jk kaamua kumbeba naye huyu, hana hata taaluma ya uandishi wa habari.......do I say more?
Alivyokuwa Udsm akiishi Mabino hostel .........
SOMA WASIFU WAKE KWENYE THREAD HII Togolani Mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa JK - Hotuba
2. Hoyce Temu sijui