MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 4,818
- 15,084
CCMM imejaa majizi, jitu limesomeshwa kwa kodi yetu, mwisho wa siku linageuka na kuanza kushirikiana na wezi kuiba rasilimali zetu.
Magufuli anaumbua watu sana aiseeHata sijakuelewa Mkuu labda wenzangu.. Unajua tujifunzeni kuanzisha majungu ili iwe ni vigumu kutofautisha kati ya ukweli na uongo.vinginevyo urudi shuleni tena ukajifunze jinsi ya kuwa mnafiki... Kwa taarifa yako muhongo ni kila kitu na tunamhitaji zaidi ya unavyofikiria.umeme Rea kila kona, Watoto wanakwenda kusomea menejimenti na Usimamizi kwa ujumla wa gesi, makaa ya mawe na madini ya jasi yananufaisha wachimbaji wadogo, Hakuna kukatika katika umeme hovyo, wala Mgao... Na mengine rundo.. Sasa mzee utabakia humu JF tu na baadhi ya wafia dini wa Ufipa.. Ila wazee na vijana vijijini wanamwona kama mungu wao..
Majungu? Hayawi hayawi huwa!Hata sijakuelewa Mkuu labda wenzangu.. Unajua tujifunzeni kuanzisha majungu ili iwe ni vigumu kutofautisha kati ya ukweli na uongo.vinginevyo urudi shuleni tena ukajifunze jinsi ya kuwa mnafiki... Kwa taarifa yako muhongo ni kila kitu na tunamhitaji zaidi ya unavyofikiria.umeme Rea kila kona, Watoto wanakwenda kusomea menejimenti na Usimamizi kwa ujumla wa gesi, makaa ya mawe na madini ya jasi yananufaisha wachimbaji wadogo, Hakuna kukatika katika umeme hovyo, wala Mgao... Na mengine rundo.. Sasa mzee utabakia humu JF tu na baadhi ya wafia dini wa Ufipa.. Ila wazee na vijana vijijini wanamwona kama mungu wao..
Ndo hapo tukiwaeleza wanatubambikizia uraia wa Kenya aaaaaaaa aaaaaavipi bado una jeuri ya mkutetea Prof. Muhongo??
Teh! Teh! Teh!nyie UVCCM mlikua mnatokwa mapovu hapa mkutetea Prof.Muhongo,
haya sasa bado mna jeuiri ya kuendelea kumtetea huyu profesa tapeli??
- Mods naomba nipewe ban ya miezi miwili (mpaka tarehe 24/07/2017), habari ya jembe langu Prof. Muhongo kuobwa kujiuzulu sijazifurahia kabisa
- Tafadharini sana naomba nipewe BAN nina hasira naweza kuvunja sheria kwa kumtukana mtu
mnafukua makaburihatimaye muda umesema
Iam still bubbling under br... Njia ilishaharibiwa na waliotangulia. Hata akiwekwa nani bila ku review Agreements na hawa jamaa Itakuwa ngumu.KANYAMA are still there? If so, Hebu fanya uungwana kwa kumuomba radhi ndugu Rutashubanyuma kupitia uzi huu huu!
Hahahahahaa Mzee mwenzangu hii wizara ni ngumu halafu inasiasa za chinichini. So Usimamizi wa shughuli za uchimbaji wa madini ni ngumu sana. Tena bora hizi za matani na makontena. Supervision kwenye migodi ya gemstones ni balaa zaidi. Mtu akipita na kipunje kidogo tu cha almasi mmekwisha. Hapa panatakiwa kuwekwa mfumo mzuri wa mining control and monitoring management system za kisasa ambapo hadi ikulu itakuwa inawasimamizi wa nini kinaendelea ktk kila dakika migodini. Na wanaweza kuhoji au kuzuia uzalishaji anytime wanapoona kuna shida. Sasa mikataba iliyowekwa mkuu wawekezaji wako ulaya na hisa za serikali haziwezi kuwa na sauti ya kuzuia production hadi zipatikane faults kama hizi ni vigumu sana. Muhongo alikuwa anapokea taarifa Kama kawaida kutoka kwa watendaji. Na asingeweza kuwa anavizia usiku pale buly ili aone kama concentrate ni zenye value inayoandikwa.Mkuu njoo huku tafadhali sana