WINGER_TEREZA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 242
- 450
Habari wanajukwaa. Imekuwa ni kawaida kwa Kiongozi Mkuu wa nchi hasa nchi zinzotumia title ya Raisi, kama hii ya kwetu, kutumia kigezo cha siku 100 za kwanza za Raisi kuwa Ikulu kufanyiwa tathimi ya utendaji kazi wake.
Wachambuzi wa mambo ya siasa, wasomi, wanazuoni na Wananchi wa kawaida hutumia siku 100 kupima muelekeo wa Raisi husika katika harakati zake za kutekeleza majukumu yake kwa kutumia hizo siku 100 na mwishoe hufanya tathimi na hata kuja na conclusion.
Kuna wengine wanaamini Raisi akiharibu katika siku 100 za kwanzo Ikulu basi usitarajie kama atafanya vizuri katika kipindi chote kilichobakia hata kama ni miaka 4 na ushee ndiyo imebaki!. Swali langu ni je, kwanini siku 100 ndiyo hutumiwa kama kigezo cha kupima ufanisi wa Raisi?.. Kwanini isiwe siku 60 au miezi 6 au hata mwaka?. Na ni nani yaliyetoa siku 100 kama "SI - unit" ya kumpima Raisi?.
Asanteni, nataka kufamishwa hilo tu maana hiko kipimo hutumiwa dunia kote.
Wachambuzi wa mambo ya siasa, wasomi, wanazuoni na Wananchi wa kawaida hutumia siku 100 kupima muelekeo wa Raisi husika katika harakati zake za kutekeleza majukumu yake kwa kutumia hizo siku 100 na mwishoe hufanya tathimi na hata kuja na conclusion.
Kuna wengine wanaamini Raisi akiharibu katika siku 100 za kwanzo Ikulu basi usitarajie kama atafanya vizuri katika kipindi chote kilichobakia hata kama ni miaka 4 na ushee ndiyo imebaki!. Swali langu ni je, kwanini siku 100 ndiyo hutumiwa kama kigezo cha kupima ufanisi wa Raisi?.. Kwanini isiwe siku 60 au miezi 6 au hata mwaka?. Na ni nani yaliyetoa siku 100 kama "SI - unit" ya kumpima Raisi?.
Asanteni, nataka kufamishwa hilo tu maana hiko kipimo hutumiwa dunia kote.