Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,202
- 44,598
Ni utaratibu tuKwa nini watu wengi hupenda kuweka vitanda vyao pembeni ya chumba na sio katikati ya chumba!!?...
Mwana taarab mmoja alihoji kwa nini nahodha awe nyuma ilihali abiria wakae mbele!!?...