Kwanini US$ dollar bills zinauzwa na kununuliwa kimafungu?

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Mwenye kujua anifahamishe. Huwa nashangazwa sana kwanini dollar ya mmarekani haiuzwi wala kununuliwa kwa kufuata thamani? Na badala yake wanaangalia denomination ya bill.
Mfano kama ni dollar 50 - 100, chini ya dollar 50 zinakuwa na exchange rate tofauti.
Je si wizi huu wandugu? Kuchenji kwa rate tofauti tofauti wakati value ya pesa ni ile ile?
 
Mwenye kujua anifahamishe. Huwa nashangazwa sana kwanini dollar ya mmarekani haiuzwi wala kununuliwa kwa kufuata thamani? Na badala yake wanaangalia denomination ya bill.
Mfano kama ni dollar 50 - 100, chini ya dollar 50 zinakuwa na exchange rate tofauti.
Je si wizi huu wandugu? Kuchenji kwa rate tofauti tofauti wakati value ya pesa ni ile ile?

It's all about demand and supply, wanunuzi wakuu wa dola ni wafanyabishara, kibongobongo watu wanapenda kutembea na mihela sasa imagine mtu anaenda China na equivalent ya Tshs 100,000,000 ukiwa na $1 au $5 si utakuwa na mabegi ya hela???? In the bank haitakiwi kuwa hivyo though. Ila kinachonishangaza bongo unakuta hata benki wanafanya upuuzi wa namna hiyo.
 
Back
Top Bottom