hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
Hahanaomba ujumbe huu magufuli asiuone maana ataleta kufungia mitandao wakati kingereza hakisemi hivyo ,
Hahanaomba ujumbe huu magufuli asiuone maana ataleta kufungia mitandao wakati kingereza hakisemi hivyo ,
Daah ' unauliza hilo kwetu -- kwa level ya kuwa na viongozi wenye ubongo kama DAB unadhani tutafika huko -?najua ilo maana nipo urusi kwa kipindi kirefu lakin nauliza kwetu tunashindwaje hayo
IndeedKama inashindikana kuwapatia uhakika wa maji wakaazi wa kyela au Ukerewe.....hayo ya mtandao ni level nyengine.
Hahaa daah....kama waathirika wa tetemeko bukoba michango waliochangiwa na wananchi wenzao wanyonge hawakuipata sembuse ayo makitu ya kidhunguuu!! Wakati nasikia jiwe anawachukia wadhunguuu! Kwavile rugha yao ni ngumu
Hahaaaa haaaaaa dah !!!Kurekebisha kingo za mto tu pale jangwani tumekopa WB,je hayo mambo mazito ya internet na miundombinu yake tutawezea wapi?
Hatujashindwa ila bado muda haujafika, tunapambana kwanza wakurugenzi wawe wasimamizi wa uchaguzi.najua ilo maana nipo urusi kwa kipindi kirefu lakin nauliza kwetu tunashindwaje hayo
Mkuu embu niambie ni mfumo upi ambao ww unadhani nchi kama nchi tukiufuata tutatoka hapa tulipo kiuchumi na kupiga hatua?lakin zote ni kufungia, ujue serikali zinazojiitaga wajamaa wana mambo ya kipuuzi sana ukianzia Urusi, ukaja China, Venezuela,Cuba, Urusii wote wanaongozwa kama waumini wa kanisa la askofu mmoja ....
mfumo jumuifu yaan unanusa harufu ya beberu kidogo alafu na kuku wa kienyeji yaan mjamaaMkuu embu niambie ni mfumo upi ambao ww unadhani nchi kama nchi tukiufuata tutatoka hapa tulipo kiuchumi na kupiga hatua?
KumbeKuna Baadhi Ya Mambo Yanachekesha Sana!! Anyways, Kuna Msemo Unasema "Information Is Power" Na Kinachojaribiwa Kufanyika Ni Kuzilinda Taarifa Zao (Serikali) Na Kutotoa Mianya Ya Taarifa Hizo Zisije Kudondokea Mikononi Mwa 'Wahuni'.
najua ilo maana nipo urusi kwa kipindi kirefu lakin nauliza kwetu tunashindwaje hayo
Hapana nipo BulgariaIrakunda upo Russia?
USA daima IGA waliofauluMkuu embu niambie ni mfumo upi ambao ww unadhani nchi kama nchi tukiufuata tutatoka hapa tulipo kiuchumi na kupiga hatua?
serkali za kijamaa sio kuwa zina mambo ya kipuuzi .. Sera zao ni za kizalendo zaidi ...lakin zote ni kufungia, ujue serikali zinazojiitaga wajamaa wana mambo ya kipuuzi sana ukianzia Urusi, ukaja China, Venezuela,Cuba, Urusii wote wanaongozwa kama waumini wa kanisa la askofu mmoja ....
Mbona tunainga wa China walio faulu lakini bado tunalia njaa huku mtaani? Wa USA ndiyo tutauweza mkuu?U
USA daima IGA waliofaulu
Nafikiri lengo la Urusi si kujifungia ama kujitenga..hapana..lengo ni kuwa na uwezo wa internet yao kufanya kazi hata pale ambapo mataifa ambayo servers zipo yataamua kuzima interner....in short wameshituka baada ya kuona dunia ya sasa watu wanaweza wakakuwekea vikwazo kwa kitu chochote..na wao kwa sasa hawana uwezo wa kujilinda na kuhakikisha usalama na ufanyaji kazi wa internet yao.....Na process imeanza kitambo kidogo pale walipoanza kuwalazimisha mitandao ya kimataifa kutengeneza miundo mbinu ndani ya urusi ambayo itawezesha kutunza taarifa zote ndani ya urusi kwa kipindi cha miezi sita....Kwa mtazamo wangu, kinadharia inaweza kuwa hivyo ila kiuhalisia, Nchi moja haiwezi kukidhi mahitaji ya kimtandao ya raia wake. Labda iwe nchi ya kidikteta kama N. Korea. Nasema hivi kwa kuwa katika Dunia ya kidigitali hakuna linaloshindikana na hakuna kujifungia. Russia hawezi kukidhi mahitaji yote ya internet kwa raia wake, matokeo yake zitaibuliwa illegal means za kuaccess taarifa zilizo kwenye www.
So kivitendo naona kama ni ngumu.
SureHamna zaidi ya kufatilia wananchi. Big brother is watching you.
KabisaMkuu hayo mambo ni complex sana ni kama leo unaambiwa angola amerusha sattelite ila kuanzia design na full operational anayo mzungu sasa apo angola ni kanunua tu iyo sat, tuwekeze kwenye elimu kwanza ambayo italeta positive output achana na haya ya kumeza vitini na madesa ili mtu atoboe akapate ulaji
First I think you have forgotten to mention your source of this info.Hatimaye imetokea mwanzoni mwa mwezi Mei, Rais wa Urusi Bwana Putin alisaini mswada unahusu masuala ya mtandao nchini humo ''Russia's Internet Sovereignity''
Pia inaamuru utendaji au uunzi wa miundombinu inayoruhusu Urusi mitambo yake na intanet yake kuoperate endapo watendaji wa mitambo yao itafeli,
ujumbe
It finally happened, at the beginning of May president Vladimir Putin signed a bill that seeks to establish Russia’s “internet sovereignty.” Among other measures, it dictates the creation of the infrastructure to ensure the operability of the Russian internet in the case of Russian telecom operators’ failure to connect to foreign root servers. A national internet, in other words. The idea of creating an autonomous system of internet governance originated in China, but make no mistake: the Russian internet sovereignty law goes beyond anything China has so far attempted. While China is able to exert control over the content that can be accepted inside its borders, the physical infrastructure of the internet remains very much outside its reach. But then, as Fang asks: if the fundamental infrastructure of the entire global network is based in one country what then happens if that country decides to disconnect China or Russia from the internet? The Russian plan aims to answer Fang’s question by creating a national domain name system, which the internet sovereignty law notes is not yet fully functional but is undergoing creation by Roskomnadzor, the Federal Service for the Supervision of Communications, Information Technology, and Mass Media.
The process is fiendishly complicated because it involves storing all prospective content of the internet on servers in Russia, but if it works, then Russia will effectively be in possession of its own internet, capable of fully functioning when disconnected from the global network. Putin said that Russia needs to create an area of the internet “that depends on nobody.” Russian state intelligence organizations have been regularly accused of interfering with the internal affairs of other countries. This attribution depends on the ability to trace the origin of the activity back to its source. But if Russia develops its own internet, that possibility is ruled out. Naturally, some worry that Russia is preparing for a world of recurrent and increasingly violent cyber conflict. One of the most attractive features of the internet as we know it is that every country is vulnerable to widespread disruption and infrastructure collapse, making it less interested in launching an attack with unpredictable consequences. But if Russia is able to isolate itself from the global internet, it suddenly will care much less about what happens to it. Think of a stealth fighter jet, capable of operating in full freedom, undetectable and indestructible. '''
This implies
1) If successful, the Russian military will be able to viciously cyber-attack any nation and then withdraw and disconnect Russia from the World Wide Web, ensuring safety from cyber retribution.
2) If there should ever come a Russian "color revolution", the Putin regime can disconnect from the Internet and block the international community from knowing what draconian measures are transpiring within Russia.
3) In the not too distant future, we will witness a "Balkanisation of the Internet" in which dictators can separate their nations from the free flow of Internet information.
Britanicca