The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuqa wanajamvi!
Siku hizi watu hatuna staha kabisa. Majanga yakitokea tunafanya mzaha kwa kauli, picha, maandishi na vitendo. Kama haijakutokea mshukuru Mungu kwasababu Hujui kesho. Haileti picha nzuri kabisa kujipiga selfie ama picha kwenye matukio ya ajali ama Majanga ukaposti.
This not right at all its fundamentally wrong and totally unacceptable!
Siku hizi watu hatuna staha kabisa. Majanga yakitokea tunafanya mzaha kwa kauli, picha, maandishi na vitendo. Kama haijakutokea mshukuru Mungu kwasababu Hujui kesho. Haileti picha nzuri kabisa kujipiga selfie ama picha kwenye matukio ya ajali ama Majanga ukaposti.
This not right at all its fundamentally wrong and totally unacceptable!