Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Hana akili huyoKwa hiyo siku hizi wanafunzi wakifanya application UDSM wanaangalia huyu ni kabila gani ili wamcjague? Hata kama ana sifa lakini kwa kuwa idadi ya kabila lake imeshatimia hachaguliwi? Nina wasiwasi na utafiti wako. Kwa maoni yangu watu wanachaguliwa kwa merit na sio kabila, mtu anaajiriwa kwa merit sio kabila pamoja na lwamba tunajivunia makabila yetu kama wewe Mkinga.