johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,445
- Thread starter
- #21
Nani kakudanganya?!Miaka 18+ ni watu wazima na sio boys & girls any more.
Nani kakudanganya?!Miaka 18+ ni watu wazima na sio boys & girls any more.
Picha ziko wapi mkuuZiara ya Rais Samia Kilimanjaro na Mapokezi Arusha yamefana sana. Watu wanajitokeza kwa wingi kwenye mikutano na pote anasimama, wana hamasa kubwa, wanaonyesha imani kubwa kwa Rais, Upendo mwingi, matumaini na namna anawaongoza, wengi wanakiri na kukubali Mama anafanya Makubwa!
Kwani wao wako exempted na tozoZiara ya Rais Samia Kilimanjaro na Mapokezi Arusha yamefana sana. Watu wanajitokeza kwa wingi kwenye mikutano na pote anasimama, wana hamasa kubwa, wanaonyesha imani kubwa kwa Rais, Upendo mwingi, matumaini na namna anawaongoza, wengi wanakiri na kukubali Mama anafanya Makubwa!
Hata najua basiKwani wao wako exempted na tozo
Kwani hujui?Leo nimeshuhudia wasichana wawili wadogo wakitunukiwa tuzo za kufanya vizuri katika masomo na kuwapita wote.
Ndiposa nikajiuliza hapo UD hakuna wavulana vipanga siku hizi?
Mie ngachoka kabisa!!!
Hao ndio wakishaanza maisha huchangiwa mbegu tu!Wangeongoza wanaume pia tungeulizana
Hongera kwao watoto wazuri GPA ya 4.7 sio mchezo
Irene Christopher Msengi Degree ya biashara katika uhasibu
Edna Davis Meela Degree ya Sayansi katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji
View attachment 1976840
Matokeo ya shindano la JF yanapatikana wapi mkuu? Kutwa nzima jana nayatafuta.Wanawake ni vichwa sana!, mimi mwenyewe sterling wa home kwangu ni wife, hata hili shindano la jf, si umeona mshindi ni nani?. Hata kwenye siasa, hujaona kuwa japo nanii hana Ph.D lakini ana akili kuliko naniliu?.
P
Hao ndio wakishaanza maisha huchangiwa mbegu tu!
P wewe Mungu anakuona! Huyo naniliu si kachaguliwa na kukubaliwa na nanihii mwenye PhD yake? Ukimsifu mama msifu na baba aliyemchagua mama kati ya wengi.Wanawake ni vichwa sana!, mimi mwenyewe sterling wa home kwangu ni wife, hata hili shindano la jf, si umeona mshindi ni nani?. Hata kwenye siasa, hujaona kuwa japo nanii hana Ph.D lakini ana akili kuliko naniliu?.
P
Mkuu Mwana wa Nuru , hoja iliyopo mezani ni "brain power of a woman" nikasema hata home kwangu mimi ni a university graduate, wife ni mtu wa kawaida tuu, but she is the one who run the show. Ndio nikauliza hata nanii hana Ph.D, lakini the way she run the show, amethibitisha wanawake wana akili kuliko wanaume!.P wewe Mungu anakuona! Huyo naniliu si kachaguliwa na kukubaliwa na nanihii mwenye PhD yake? Ukimsifu mama msifu na baba aliyemchagua mama kati ya wengi.
Ok. Brother P. Nakubaliana nawe kwa hilo. Chanzo, ni wao kuwa na uwezo wa kutumia vipande vyote viwili vya unongo kwa wakati mmoja ilhali sisi tunatumia mmoja, ama wa kushoto au wa kulia, si uchaguzi ni nature tu.Mkuu Mwana wa Nuru , hoja iliyopo mezani ni "brain power of a woman" nikasema hata home kwangu mimi ni a university graduate, wife ni mtu wa kawaida tuu, but she is the one who run the show. Ndio nikauliza hata nanii hana Ph.D, lakini the way she run the show, amethibitisha wanawake wana akili kuliko wanaume!.
p
Watoto wazuri na wenyeakili kutoka kaskazini daaadek!! Ndomana mwendazake aliichukia kaskazini asee.Leo nimeshuhudia wasichana wawili wadogo wakitunukiwa tuzo za kufanya vizuri katika masomo na kuwapita wote.
Ndiposa nikajiuliza hapo UD hakuna wavulana vipanga siku hizi?
Mie ngachoka kabisa!!!
Matokeo ya shindano la JF yanapatikana wapi mkuu? Kutwa nzima jana nayatafuta.
====
Ninachokijua UDSM ni chuo cha kimikakati. Umeishausoma upepo unaelekea wapi, na wao mashua yao wanaielekeza huko huko.