Kwanini unasema huna mtaji? Ni kisingizio?

Nashukuru kwamba wewe umeelewa comment yangu.Nataka watu waamke.Wapambane kujenga passion zao waache visingizio.Maisha sio raihisi hivo.hata nikikuajiri lazima uzalishe zaidi ya mshahara wako ili nione kwamba una thamani.Tuambiane ukweli.

Naona Jamaa kapotea.Ila kama kakwama huwa nawasaidiwa watu kama yeye waache kufi Bo

Nashukuru kwamba wewe umeelewa comment yangu.Nataka watu waamke.Wapambane kujenga passion zao waache visingizio.Maisha sio raihisi hivo.hata nikikuajiri lazima uzalishe zaidi ya mshahara wako ili nione kwamba una thamani.Tuambiane ukweli.

Naona Jamaa kapotea.Ila kama kakwama huwa nawasaidiwa watu kama yeye waache kufikiri maisha ni rahisi
Mkuu ujaelewa nimemaanisha nini hapo...am not your crew in this as you misread my punch.
 
1.Nilianza na dagaa bila mtaji...
Mwenzangu alikua anauza dagaa akaniambia hizi hela unazopata zilete na kwenye dagaa....akanishawish for 4mths...ss mm muda huo mambo yalikua tite...nikaanza mtangazia yeye dagaa zake nikapata response nzuri sana bt hakua akinipa % yyt ile...kumbe wakaamua kunipa gunia 2 za asante baadabya miez kaka 3..so hizo nikaanza nazo..zidkaisha withn 2dys sasa ndo nikaanza fata mwenyewe ...the rest is histry...
2.kilimo cha mboga mboga ..niliomba eneo 2015 nilisafishe nilime mchicha ..pemben kulikua na mto fulan haukauk maji bas huy mama akanishangaa itawezekanaje .maana maji yako kwa mbalii..kuna kamlima..huwez amini niliweza lima kwa msaada wa kaka...akanisaifishia akanilimia nikapga tuta nikapata tuta 50...withn 15dys kitu kikawa kimekomaa nikauza kwa siku 1 ( niliuzia chuo) then nikanunua yite waterpump...
Hapa napoishi nilifunga michezo yawatoto..bas watoto wengi wknd wakawa wanakuja kuomba kucheza...nikaona fursa...nikaanzisha kadaycare plus niweke michezo mob wknd wawe wanalipia walau 500k..
Natamani nifungue na daycare ya 2 kwa uwezo wa Maanan itawezekana
...mie ni mpenzi sana wa maua na bahat nzuri nyumba iko barabaran bas watu weng wanatakaga maua yangu nadhan baadaye ntaamua kuuza coz maji yamefika
....vitu ni mob unaweza chanika msambašŸ™šŸ™

Unaona umenipa kitu hapo. Kwanza hongera sana!!!

lkn nmegundua thamani ya mtaji haichezi mbali na Kujisacrifice pamoja na Uaminifu.

Wacha na mm nianze kutafuta Fursa!!!
 
Nikaanza mtangazia yeye dagaa zake nikapata response nzuri sana bt hakua akinipa % yyt ile.
Possible āˆšāˆš

wakaamua kunipa gunia 2 za asante baadabya miez kaka 3
Ulipewa gunia 2.

Let make word Asante in subset {Asante}.

2.kilimo cha mboga mboga ..niliomba eneo 2015 nilisafishe nilime mchicha ..pemben kulikua na mto fulan haukauk maji bas huy mama akanishangaa itawezekanaje
Possible āˆšāˆš

niliweza lima kwa msaada wa kaka...akanisaifishia akanilimia nikapga tuta nikapata tuta 50
Nataka kujua mbegu, mborea... pembejeo zilizohitaji utoe pesa mfukoni nazo Kaka alisaidia??

nilifunga michezo yawatoto..bas watoto wengi wknd wakawa wanakuja kuomba kucheza...nikaona fursa
Hizi bembea ulizifunga bila kutoa pesa mfukoni??

.......................................................

Bottom line
Nimeenda hand to hand sehemu zitazokulazimu kutoa Cash yako mfukoni, nimepata vitu viwili

1)Ulisaidiwa
*kupewa gunia
*kupewa pembejeo na kaka through kaka umemuelezea kwenye Nguvu kazi tu.

2)Umetoa Cash mfukoni
*All start with bembea last time niliulizia bembea moja used it Satand 70,000 Tzs.
 
Acheni kudanganya watu nyie motivational speakers, hakuna biashara pasipo mtaji ishu tu size ya mitaji inatofautiana hata uo udalali wenyewe mnaokomaa kuaminisha watu hauitaji fedha ni uongo ili kupata wateja unahitaji simu nzuri ya kuchukua content nzuri unahitaji bundle kupost na kuwasiliana na wateja unahitaji kulipia matangazo nknk hizo gharama zote lazima uingie kabla hata kuanz huo udalali wenyewe.
 
Possible āˆšāˆš


Ulipewa gunia 2.

Let make word Asante in subset {Asante}.


Possible āˆšāˆš


Nataka kujua mbegu, mborea... pembejeo zilizohitaji utoe pesa mfukoni nazo Kaka alisaidia??


Hizi bembea ulizifunga bila kutoa pesa mfukoni??

.......................................................

Bottom line
Nimeenda hand to hand sehemu zitazokulazimu kutoa Cash yako mfukoni, nimepata vitu viwili

1)Ulisaidiwa
*kupewa gunia
*kupewa pembejeo na kaka through kaka umemuelezea kwenye Nguvu kazi tu.

2)Umetoa Cash mfukoni
*All start with bembea last time niliulizia bembea moja used it Satand 70,000 Tzs.
Kwenyr mchicha sikuweka mbolea..hilo eneo halijawah kutumika..kalikua kamsitu fulani kenye mbolr...upande wa chinu maji yapo ..mie kilichonivuta ni maji tu ..hata kamA kaka asingesaidia cost yake isingezid 40k .maana ni robo eka kulima sana sana ingecost 20k
 
Good;
Je unajua yanakopatikana hayo mabegi na bei zake na sifa zake na utofauti wake?

Je unajua walipo wateja wa mabegi na bajeti zao na mahitaji yao?
Je unajua kwa wastani utauza mabegi mangapi kwa siku,wiki au mwezi na utauza kwa bei gani?

Je unatarajia kupata faida kiasi gani kwa kila begi?
Je kwa kutumia hivo vipimo je Biashara yako inawezekana kuwapatia watu huduma/bidhaa na kuwaridhisha na kisha kukupa faida ya kutosha kukimu maisha yako?

Ukiweza kunijibu haya maswali basi wewe tayari unayo biashara na unao mtaji ili iwapo huna majibu ya hayo maswali basi tafuta majibu yake.Kama utapata majibu ya hayo maswali na bado usiwe na biashara ambayo inafanya kazi basi RUDI SHULE
Mkuu hizi biashara za kwenye karatasi huwa nyepesi sana.
 
Biashara ndugu zangu ikijadiliwa hap kla kitu kitakuw "positive" kwa point, lakin uhalisia haupo hivyo... huo udalal mnaousema nyinyi atakaeshawishka kuufanya ataanza n mtaji wa kiwanja changu.. aje PM kwa maelezo zaidi alaf tuone! Nyinyi mnafanya masikhara nyinyii.
Mtu unakuta kaajiriwa anapokea mshahara kila kitu kinaenda. Anakuja hapa eti biashara unaweza kuanza bila mtaji, anadhani watu mtaani wamekaa tu.
Unaweza usiwe na mtaji ukawa na watu ambao wapo kwenye system wakakubeba.
Kuna watu hana mtaji na hana mtu wa kumbeba hapo ndo utajua Pesa ni nini.
Mafanikio sio kitu chepesi kwa 100% ni kitu kigumu sana mpaka mungu akuwekee mkono.
 
Mkuu hizi biashara za kwenye karatasi huwa nyepesi sana.
Mkuu,Hakuna biashara nyepesi ila Kila kitu ni mipango.Niamini kwamba hiyo kanuni niliyompa hapo juu sio rahisi hivyo maana kila hatua hapo ni kazi pevu kabisa
 
Hakuna biashara bila mtaji. Labda tuite kubangaiza ila kama mtaji huna wewe hufanyi biashara na sio mfanyabishara. Kwanza biashara ni nini na ina sifa gani? Ukijibu hili utajua kuwa hakuna biashara isiyo na mtaji.
Mkuu iko hivii, ni kweli kabisa hakuna biashara pasipo mtaji. Lakin neno mtaji ni pana kidogo na zipo aina mbali mbali za mitaji mfano: nguvu (nadhani ushasikia mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe), ujuzi, au hata mali (assets) like kiwanja au nyumba. So, pesa ni aina mojawapo ya mfumo wa mtaji ingawaje pesa inaendelea kusimama km aina ya mtaji wenye nguvu sana kwny biashara!.
 
Ukiwa na haya unaweza kumove on kwa hapa Tanzania:
1. Mtaji pesa kulingana na wazo lako.

2. Knowledge teknolojia/ufundi/fani/ujuzi mfano capenta, welding, seremala, sonara, mekanika, fundi mavazi na viatu, fundi wa electricity na fundi electronics simu, jagi ,pasi, n.k

3.Ukikosa hayo hapo juu au ukiwa huna sifa hizo itakulazimu ufanye kazi za vibarua kama kubeba tofali, kupakia mizigo na kubeba mizigo, kufanya kazi zisizohitaji ujuzi au teknolojia, kufanya kazi za ndani, maids wa bar au hotels

N.B jitahidi utoke kwenye option namba 3 kama unaishi kwa kuangukia hili kundi hapa Tanzania japo ukiwa huna namna sio vibaya kuwepo hapo ili ubangaize ushike option namba 1 au 2.

OPTION 1MTAJI KUTOKA KWA MKOPO, RAFIKI, HIZO MITAJI HUWA NI CHANGAMOTO UMAKINI NI MUHIMU. MTAJI WA KUUKUZA HUO HAUNA SHAKA SANA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom