GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Nimeona hivi punde katika Kurasa ya Official Bavicha Taifa kwamba Tanzania na Burundi zimo katika miongoni mwa Mataifa 10 yenye Raia / Wananchi Wavivu Afrika ila Uganda na Rwanda sijaziona kabisa. Je ni kwanini? Halafu hivi ni kwanini nchi kama Rwanda mara nyingi sana huwezi kuikuta ikifananishwa na mambo ya Kipuuzi Kipuuzi kama ambayo unaweza kuyakuta yameshaanza Kuzoeleka katika nchi zingine nyingi za Afrika? Je kuna uwezekano wowote kwamba labda nchi ya Rwanda iko tu hapa Barani Afrika kwa bahati mbaya pengine ilitakiwa iwe huko Ulaya au Mashariki ya Kati au hata huko Amerika ya Kaskazini?
Nawasilisha.
Nawasilisha.