yahoocom
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 331
- 378
Habarini za jioni; nmekutana na thread mojawapo inatoa malalamiko kuwa CRDB imeongeza monthly maintanance fees! Yaani pesa ya kwako waitumie kuzalishia na bado uwalipe tena! Kuna sababu watu watumie NMB CHAP CHAP A/C Ni akaunti ambayo kiukweli naifurahia; hakuna makato ya ajabu ajabu yaan mpaka nitoe hela ndo naona makato kuna siku moja nmetoa laki 3 na nusu kwa 900. Watu tuwe wafuatiliaji tusiwe watu wa kulalamika tu; mie kwa sasa nnaona hata mitandao ya simu wananiibia kama hiyo laki3 ningechajiwa karibu elfu5.