Kwanini ulijiunga JF?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,570
15,319
mimi
Mara ya Kwanza , Kutafuta kazi.
Mara ya Pili Kujua mambo ya kitaifa na baada ya kugundua siri ya dogo mmoja anayejua kila kitu anatolea madini yake jf.
Mara ya Tatu kutafuta biashara
Sasa Kuburudika
 
mimi
Mara ya Kwanza , Kutafuta kazi.
Mara ya Pili Kujua mambo ya kitaifa na baada ya kugundua siri ya dogo mmoja anayejua kila kitu anatolea madini yake jf.
Mara ya Tatu kutafuta biashara
Sasa Kuburudika


Nilijiunga jf kuongeza elimu mbalimbali kwasababu jf ni kisiwa cha elimu. Pia kutoa kidogo nilicho jaaliwa na Mungu.

Pia nilijiunga ili kusikia hoja za wapinga Mungu (Atheists) na kuvunja hoja zao batili.
 
Nilijiunga jf kuongeza elimu mbalimbali kwasababu jf ni kisiwa cha elimu. Pia kutoa kidogo nilicho jaaliwa na Mungu.

Pia nilijiunga ili kusikia hoja za wapinga Mungu (Atheists) na kuvunja hoja zao batili.
Umefanikiwa kuvunja?
 
Nilijiunga jf kuongeza elimu mbalimbali kwasababu jf ni kisiwa cha elimu. Pia kutoa kidogo nilicho jaaliwa na Mungu.

Pia nilijiunga ili kusikia hoja za wapinga Mungu (Atheists) na kuvunja hoja zao batili.
Aisee ubarikiwe.
Ni habari njema angalau tukiwa na member magreat thinka wenye roho wa Mungu vinginevyo JF inaweza kugeuka danguro
 
Back
Top Bottom