Minah
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 814
- 2,079
Yy na jamaa yako waliendup kuwa Wapenzi auRafiki yangu alikuwa mjuaji sana alafu alikuwa anataka nifanikiwe ila nisimzid kwa lolote,ukimzidi kitu lazima akosoe...
Cha ajabu sikuwa namuuliza unapata nini ila yeye atataka ajue undani wako alaf anakukosoa
Nilipomtua mazima alikuwa ananipa taarifa za uchochezi kuhusu jamaa yangu pia alitaka ajue napewa nini na akazidisha ukaribu na jamaa nahisi kule nako alikuwa anampa maneno mabaya hadi tukaachana nikaona isiwe taabu naye nikampotezea,